Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,124
hapa tupo wanaume wachache tu.
si jambo la kawaida sana kwa mwanaume wa kupata bahati ya mtende.yaani zali la mentali.
leo tulonge kidogo wale tuliowahi kuwapata hawa watoto.
sikutaka kuamini pale mtoto mmoja alipojibu rasimi bila hiana kuwa my request ACCEPTED.
niliuliza mara mbilimbili bado mrembo yule akanihakikisha sasa yeye ni mali yangu. nilimshukuru Mungu. nilijihisi nipo peponi.
japo baadae kwao aliandamwa sana mpaka akaniambia anapata a lot of trouble kwa ajili yangu.
I LOVE YOU NA..............
you feel my heart.
jamani zali la mentali ni ndoto ya wanaume wengi ila ni wachache tu tuliobahatika kwa hili na sasa tulonge humu
si jambo la kawaida sana kwa mwanaume wa kupata bahati ya mtende.yaani zali la mentali.
leo tulonge kidogo wale tuliowahi kuwapata hawa watoto.
sikutaka kuamini pale mtoto mmoja alipojibu rasimi bila hiana kuwa my request ACCEPTED.
niliuliza mara mbilimbili bado mrembo yule akanihakikisha sasa yeye ni mali yangu. nilimshukuru Mungu. nilijihisi nipo peponi.
japo baadae kwao aliandamwa sana mpaka akaniambia anapata a lot of trouble kwa ajili yangu.
I LOVE YOU NA..............
you feel my heart.
jamani zali la mentali ni ndoto ya wanaume wengi ila ni wachache tu tuliobahatika kwa hili na sasa tulonge humu