Kwa wale mliofanya Aptitude Test ya PSPF

Ee Mungu,tuangalie watÓto wa wakulima na utuone!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
una bikira ya mawazo na bila shaka una guilt conscious wakati mwingine sio lazima kuandika kama huna cha kuandika.Ukimywa ni njia bora ya werevu

Busara ni weledi wa hali ya juu kwa msomi yeyete, usimkashifu mwezio, haya mambo kweli yapo na tunaishi mtaani na wanaopewa kazi kwa vimemo, wengine ni family friend zetu, pia yanatukuta sana sisi job seekers ambao hatuna wa kutupa vimemo, ila naamini Mungu wetu sio kiziwe ipo siku atatusikia tu sisi watoto wa wajane.
 
Back
Top Bottom