Mimi ni introvert na najivunia kuwa hivyo.
Being an introvert doesn't mean that you'll be antisocial or stressed.
Changamoto ambazo tunazipata sisi introvert ni kwenye mahusiano na watu.
Hatupendi kukaa na watu
-Hatupendi story za kipuuzi,kama udaku na kusema watu,tunataka story zenye facts.
-Hatuna marafiki.
-Kama tukitaka kwenda club tunaenda club tunaenda wenyewe na hatuchezi mziki tunasikiliza tu.
-Mtu akija kukutembelea unatamani aondoke,sio kwamba humpendi basi tu unakuwa hupo comfortable.
-Hupendi kupokea simu,simu ikiita unaiangalia , halafu unamtext muhusika
-Unapenda sana text kuliko calls
-Muda mwingi upo kichwani mwako