Kwa wale ambao hawajaoa wala kuolewa

Kwa wale ambao hawajaoa wala kuolewa

Raelish

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2013
Posts
489
Reaction score
162
mi mzima..we kam hujaoa wala kuolew na sku moja una ndoto wa kuw na ndoa yako,.je unatarajia kuoa/kuolew na mume/mke mweny sifa zipi? na kwa nin unapend kuoa/kuolewa na mke/mume mweny sifa hzo? swali hili ndo msing wa ndoa bora endapo utajb ipasavyo..
 
mi mzima..we kam hujaoa wala kuolew na sku moja una ndoto wa kuw na ndoa yako,.je unatarajia kuoa/kuolew na mume/mke mweny sifa zipi? na kwa nin unapend kuoa/kuolewa na mke/mume mweny sifa hzo? swali hili ndo msing wa ndoa bora endapo utajb ipasavyo..

Mmmmh!.. sasa hizo za mtu binafsi bana na kila mtu ana za kwake...
 
Physical appearance: Mrefu
mweusi au brown asiwe too thin. Anizidi umri not less than 4 years.
Others: Anipende kweli awe ameokoka awe na elimu kuaanzia shahada na awe
na pesa za kutosha. Ila cha muhimu he should know how to handle his family
mi mzima..we kam hujaoa
wala kuolew na sku moja una ndoto wa kuw na ndoa yako,.je unatarajia
kuoa/kuolew na mume/mke mweny sifa zipi? na kwa nin unapend kuoa/kuolewa
na mke/mume mweny sifa hzo? swali hili ndo msing wa ndoa bora endapo
utajb ipasavyo..
 
Nadhani mnaishi kwenye imaginary world. Mtakapoamka toka kwenye huo usingizi wa fantasy zenu ndo mtakapokutana na uhalisia wa mambo.
Endeleeni kulala mazee

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nadhani mnaishi kwenye imaginary world. Mtakapoamka toka kwenye huo usingizi wa fantasy zenu ndo mtakapokutana na uhalisia wa mambo.
Endeleeni kulala mazee

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

NO WAY! Binadamu lazima uwe na PRIORITY ZAKO hata ukizikosa but YOU DARED TO DREAM! Hata Martin Luther alisema DREAM BIG! Zikipungua utashukuru Mungu, zikitimia inshallah!

Ila kuogopa kudream na kuestablish priority ni INFERIORITY COMPLEX mbaya sanaaa!

Ofcourse if you have what it takes you can demand your priorities. Huwezi kuwa lofa mnyonge mnyonge unakubali yeyote atakayekuja! Bora liende tu! WOGA NAO MZIGO! Khaaaaaaaaa!

Your attitude determines your altitude! Ukijiwekea attitude ya woga, unaogopa best breed of men, believing they are too good for you, ni size ya kina flani na kusubiria mabaki ya wenzio utayapata hayo hayo! But if your brave, hukubali kuwa put down, unamingle na the best breed, unajipa exposure, you dare the devils Mungu si Lara 1, utapata na wewe best breed wako! Hata kama utakuwa unamlea mjini ila ni Best breed bado!

WHO DETERMINES WHAT YOU GET AND WHAT YOU DON'T GET IS YOU!!!!!!!!!!!
 
mi mzima..we kam hujaoa wala kuolew na sku moja una ndoto wa kuw na ndoa yako,.je unatarajia kuoa/kuolew na mume/mke mweny sifa zipi? na kwa nin unapend kuoa/kuolewa na mke/mume mweny sifa hzo? swali hili ndo msing wa ndoa bora endapo utajb ipasavyo..

Sifa ya kwangu namba moja na ya kwanza kabisaaa yaani on top..ni kwamba awe na jinsia tofauti na yangu.
 
Mimi ningesema hapa za kwangu ila jinsi nilivo na damu ya kunguni mjadala utageuka nilichokisema mie na sio mada ya mtoa mada. Ngoja nibakie observer wa comment za watu!
 
mi mtoto black ile necho dah... ananikunaga mpaka bas yaan najihsi tofauti kwa raha niipatayo kumwangalia tena awe mrefu na mwembamba kias
ila ujazo wa nyuma unazingatiwa sana
kitabia awe mchesh mpole mchakalikaj ktk maendeleo na c mtu wa kukurupuka ili tuende sawa nazan nimefika kwa huyu mtoto
mungu anijalie tu nikidhi vigezo vyote ili nimuoe jaman!!
mazima.
 
Mtu unapomuona kwa mara ya kwanza unaona mvuto alionao. We dont see his or her bank ac, his level of education etc etc. These are just added advantages.
 
Physical appearance: Mrefu
mweusi au brown asiwe too thin. Anizidi umri not less than 4 years.
Others: Anipende kweli awe ameokoka awe na elimu kuaanzia shahada na awe
na pesa za kutosha. Ila cha muhimu he should know how to handle his family
Wewe unazo?
 
MM NLSHAOA ILA TULIWAHI KUULIZANA MIMI NA MKE WNG NI NINI TULICHOPENDEANA MKE AKANIJIBU AJUI ILA THE WAY NILIVYO ALJKUTA AMEFALL IN LV SASA NIKOJE? YEYE NDIO ANAJUA. MM NILCHOMPENDEA NI KUFANANA KITABIA NA MAMA YNG NA KABLA HATA SJAMUOA ALNITAMKIA ''you are ma first bon na naziona sura za watoto wng wengine thanx lord'' YAAN NIKAMPENDA SANA. SASA TUNAENJOY LIFE AS HUS&WFE
 
MM NLSHAOA ILA TULIWAHI KUULIZANA MIMI NA MKE WNG NI NINI TULICHOPENDEANA MKE AKANIJIBU AJUI ILA THE WAY NILIVYO ALJKUTA AMEFALL IN LV SASA NIKOJE? YEYE NDIO ANAJUA. MM NILCHOMPENDEA NI KUFANANA KITABIA NA MAMA YNG NA KABLA HATA SJAMUOA ALNITAMKIA ''you are ma first bon na naziona sura za watoto wng wengine thanx lord'' YAAN NIKAMPENDA SANA. SASA TUNAENJOY LIFE AS HUS&WFE

hongera mkuu, sisi wengine tuko nyuma tunasaka wanaofanana na sisi kitabia
Sent from my BlackBerry 9860 using Jamiiforums
 
kila m2 ana creteria zake azipendazo, haziwez fanana kawe, pia sifa haziko costant kama pai.
 
mi mzima..we kam hujaoa wala kuolew na sku moja una ndoto wa kuw na ndoa yako,.je unatarajia kuoa/kuolew na mume/mke mweny sifa zipi? na kwa nin unapend kuoa/kuolewa na mke/mume mweny sifa hzo? swali hili ndo msing wa ndoa bora endapo utajb ipasavyo..

hebu tueleze matarajio yako kwanza ili tuuone huo msingi
 
Physical appearance: Mrefu
mweusi au brown asiwe too thin. Anizidi umri not less than 4 years.
Others: Anipende kweli awe ameokoka awe na elimu kuaanzia shahada na awe
na pesa za kutosha. Ila cha muhimu he should know how to handle his family

kuokoka ndio.
can somebody be assured he/she is SAVED under the earth!?
 
At least awe nazo hizi;
1. Mweupe / maji ya kinds
2. Mcha Mungu
3.Ana shughuli ya kufanya
4.Ana elimu angalau form 6
5.Mrefu wa Kati tu
6. Anajua kupenda na charming to all
7.Awe na msimamo sio limbukeni
8.Awe challenging nije life
9.mwenye kujali (utu) hasa kwa wazazi
10.Familiar with technology (mawasiliano )
11..

12...
13...
 
Hahaah,dah kweli walio wafupi wanakazi sana.
Maana karibu kila mtu anataka mke/mume mrefu then mengne yanafuata.
 
Back
Top Bottom