Kwa wale wazee mnaweza kukumbuka enzi ambazo mzee ruksa aliingia madarakani, alikuja na fagio la chuma!
Hiyo ilikuwa just baada ya kupokea kijiti toka kwa Mwl. ambaye hata Mwl. wakati wa utawala wake bado alikuwa akisumbuliwa na wahujumu uchumi!
Je baada ya ufagio wa chuma taifa lilitakata?
Au walizaliwa wachafu wapya ndani ya jumba kuu na mfagiaji uchafu ukamrukia na kumtapakaa!
Raisi mpya alikuja kufagia uchafu aliouacha mwl. Lkn hadi anaondoka mjengoni, jumba lilikuwa chafu kuliko alivyolikuta!
Je, fagio la chuma lilikwama wapi?
Ni kweli hizi kampeni za zima moto huleta tija?
Nadhani issues za majipu, na fagio la chuma zinahitaji ulinganifu!
Wakongwe tunaomba mtupe experiences zenu juu ya sababu kuu za ufagio wa chuma, mafanikio na changamoto za ufagio!
Kisha sisi wa leo, tutapata picha angalau haya majipu yatatupeleka wapi!
Hiyo ilikuwa just baada ya kupokea kijiti toka kwa Mwl. ambaye hata Mwl. wakati wa utawala wake bado alikuwa akisumbuliwa na wahujumu uchumi!
Je baada ya ufagio wa chuma taifa lilitakata?
Au walizaliwa wachafu wapya ndani ya jumba kuu na mfagiaji uchafu ukamrukia na kumtapakaa!
Raisi mpya alikuja kufagia uchafu aliouacha mwl. Lkn hadi anaondoka mjengoni, jumba lilikuwa chafu kuliko alivyolikuta!
Je, fagio la chuma lilikwama wapi?
Ni kweli hizi kampeni za zima moto huleta tija?
Nadhani issues za majipu, na fagio la chuma zinahitaji ulinganifu!
Wakongwe tunaomba mtupe experiences zenu juu ya sababu kuu za ufagio wa chuma, mafanikio na changamoto za ufagio!
Kisha sisi wa leo, tutapata picha angalau haya majipu yatatupeleka wapi!