Kwa wakazi wa Urambo wanawafahamu hawa manabii, ni nini mnakifahamu zaidi kuwahusu?

Nianza na eldad Ni mtumishi wa mungu mwenye karama ya unabii, maono, uponyaji yupo kanisa la Pentecoste urambo (majengo ya kaliua) Hana cheo chochote na huwa hataki vyeo huduma yake Ni Kama ya mchungaji mwakasege Ni shemasi TU wa kawaida amebeba huduma kubwa ndani yake

Hajaanza huduma juzi wala Jana na akisema aanzishe huduma yake anakomba kanisa zima
 
Nianza na eldad Ni mtumishi wa mungu mwenye karama ya unabii, maono, uponyaji yupo kanisa la Pentecoste urambo (majengo ya kaliua) Hana cheo chochote na huwa hataki vyeo yupo Chini ya mchungaji mwakasege Ni shemasi TU wa kawaida amebeba huduma kubwa ndani yake

Hajaanza huduma juzi wala Jana na akisema aanzishe huduma yake anakomba kanisa zima
Na hao wengine Elia Kamenya na Mchungaji Flora Shusho, waelezee
 
Naanza na eldad Ni mtumishi wa mungu mwenye karama ya unabii, maono, uponyaji yupo kanisa la Pentecoste urambo (majengo ya kaliua) Hana cheo chochote na huwa hataki vyeo yupo Chini ya mchungaji mwakasege Ni shemasi TU wa kawaida amebeba huduma kubwa ndani yake..
Mwakasege huyu huyu tumjuaye ame mwingine maana mwakasege ni ukoo.
 
Nimesoma urambo day sekondari huyo elia kumenya aliwahi kuwa na duka soko la urambo lilipoungua dukani kwake yalitoka mavisoke. Hawa jamaa ni wapiga dili tu huyu elidadi anaduka la mitumba hapo urambo.
Elia kumenya ni mchawi anatoa watoti wake ndagu. Nimekaa majengo ya kaliua nawafahamu vizuri .
Ila huyu frola ndio simfahamu.atakuwa hanamuda mrefu hapo urambo.
 
Mke wa elidadi ni mweupe mfupi mnene alikuwa anaimba kwaya ya victoria ya hapohapo pentekoste.hiyo kways imegawanyika kwasasa baada ya pentekoste kujenga kanisa broko q
 
Back
Top Bottom