uzeebusara
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 657
- 514
Assalam alleykum! Ndugu zangu kiimani mimi nipo maeneo ya Sinza mitaa ya lion hotel natafuta sehemu wanakoswali swala ya Idd el hajj leo niwahi.
Mkuu sisi hapa Ukonga tunaswalia Kitunda au Gongo la mboto.Assalam alleykum! Ndugu zangu kiimani mimi nipo maeneo ya Sinza mitaa ya lion hotel natafuta sehemu wanakoswali swala ya Idd el hajj leo niwahi.
Idd ipo leo?
Mkuu sisi hapa Ukonga tunaswalia Kitunda au Gongo la mboto.
Inshaallah,lakini maeneo ya Kimara pia kuna sehemu nimesikia wanaswali saa1.30,so nenda hapo mitaa ya Kimara Mkuu kama Sinza hakueleweki inshaallah.Jazzakkallahur khair! Ngoja nijitahid kwa kipando changu kuwahi Biidhinillah Inshaallah
sisi mbona tunafunga ..tunasherekea Kesho, tunafunga jana na leo!
Assalam alleykum! Ndugu zangu kiimani mimi nipo maeneo ya Sinza mitaa ya lion hotel natafuta sehemu wanakoswali swala ya Idd el hajj leo niwahi.
idd njema jamaa zetu wote mnaoswali leo na wale wa kesho. Songea nimewaona hapa bustan ya manispaa mkabala na Hospital ya mkoa.
Kigamboni ni machava uwanjani paleAssalam alleykum! Ndugu zangu kiimani mimi nipo maeneo ya Sinza mitaa ya lion hotel natafuta sehemu wanakoswali swala ya Idd el hajj leo niwahi.
We zikuharibiya unalazimishwa....?Sikukuu ya hawa jamaa hazieleweki... mara zinaniharibia ratiba.. any way sikukuu njema eitheir ni Idi mubaraka au idi nani....?