Kwa wadada wote

Kwa wadada wote

J I T U

Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
14
Reaction score
13
Unaonekana mrembo Mara anapita jamaa anakukatia mistari ,kwa sababu ya ujinga wako na we we unakubali on first day eti kwa vile jamaa amevaa vizur,handsome ama ana hela huo ni uzembe wa aina yake ...
. pambana huwezi jua Huyo ni wa aina gani kabla ya kupata ngoma


Alisikika "Mlevi nyanjajonga" akisema
Kabla ya kuongeza neno..................🌚🌚🌚
 
Kwan bado shule hazijafunguliwa..??
Unaonekana mrembo Mara anapita jamaa anakukatia mistari ,kwa sababu ya ujinga wako na we we unakubali on first day eti kwa vile jamaa amevaa vizur,handsome ama ana hela huo ni uzembe wa aina yake ...
. pambana huwezi jua Huyo ni wa aina gani kabla ya kupata ngoma


Alisikika "Mlevi nyanjajonga" akisema
Kabla ya kuongeza neno..................

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom