Ukishindwa kujibu hayo maswali basi humpendi mwenzio! Naamini kama unampenda mtu utapenda ajue uko wapi na unafanya nini na nani! Huo ndo upendo ninaojua! Kama hutayajibu basi utakuwa msaliti mkubwa! Mwenye mapenzi au upendo wa kweli atatamani asikie sauti ya mwenzie kila wakati!
Nikimpata atakaekuwa ananiuliza hayo maswali nitamganda kama nta!
hapa tatizo ni kuwa wanaume wengi tunashindwa kutofautisha kupenda na kutamani msichana! Kama msichana ulienae ulimpenda kweli wala hayo maswali hayatakukwaza milele! Tupunguze makengeza ktk kufanya maamuzi ya mke/ mme!
Kujua mwenzi wako alipo ni muhimu sana. Na km ataamua kuniacha simply because nimemuuliza hayo maswali basi hakunipnda kwa dhati na pengine ananicheat somewhere.
Tatizo kubwa ni kwamba wanawake ni viumbe wa ajabu sana. Wanasikiliza NUSU, wanaelewa ROBO, lakini wanaongea mara MBILI. Sitaki kabisa maswali ya kipuzi, nitakuzaba mabao na kukupa kibano kama mbwa mwizi.
Tatizo kubwa ni kwamba wanawake ni viumbe wa ajabu sana. Wanasikiliza NUSU, wanaelewa ROBO, lakini wanaongea mara MBILI. Sitaki kabisa maswali ya kipuzi, nitakuzaba mabao na kukupa kibano kama mbwa mwizi.
umba binadamu wako ambae atakua kama jiwe haulizi lolote, au tafuta gubegube ambae hana upendo kwako thus urud home au usirud, ye kwake wala haimsumbui, by duin dat u wont hear those inevitable question 4 truly gals hu loves u 4 real..tc
Tatizo kubwa ni kwamba wanawake ni viumbe wa ajabu sana. Wanasikiliza NUSU, wanaelewa ROBO, lakini wanaongea mara MBILI. Sitaki kabisa maswali ya kipuzi, nitakuzaba mabao na kukupa kibano kama mbwa mwizi.