Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
- Thread starter
- #81
jaman msinielewe vibaya mie nimeona mzee yuko mpweke nikaamua kumtengenezea kahawa na stor mbil tatu, kwan mlikuwa wapi?
Baelezee bana, maana wamekuja hapa na tuhuma zao eti nilikuwa nataka kusongesha na wewe, wakati ilikuwa ni mastori tu ya ujanani mtu na mjukuu wake............
snowhite, mwaJ na FP wana nongwa hawa..............LOL
Last edited by a moderator: