EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,518
Utakua unatoka CAHTO yani kuja Bongo hadi ulale njiani? Wenzako classic wanatokea Tanga. Moro na Mikoa jiran sio porini karibu na Josefu Kabila na Nkuru.. we utaitwa musoma na Tarime tuMm huyo? Maskini jeuri, nitoke mkoa zuuuuuuuu hadi dar kwa basi? Bora nifie mkoa.
Nilishawahi Mara moja Fanya upuuzi wa kwenda na ndege dar kwa nauli yangu nikarudi na basi iliniuma na hiyo ilikuwa ni upuuzi wangu kumjali MTU asiekuwa na Maana ikabidi nijinyime nimsaidie yeye. iliniuma sitosahau na haitojirudia.
eti nimfate mwanaume dar kwa basi afu nilale njiani??
BTW hiyo ya basi nikitumiwa kasema asante yesu, nahemea vyakula ndani natulia.
Sent using Jamii Forums mobile app