Kwa ukuaji huu wa sekta ya kilimo,sijui tunaelekea wapi kama Taifa

Nakubaliana na wewe kuhusu kutoa ushauri japo uzoefu unaonyesha kuwa kwa serikali hii kutoa ushauri usiopendwa at best utapuuzwa and more likely mtoa ushauri utaingia matatani.
LAKINI sikubaliani nawe juu ya kukomaa kwenye kuendelea na mradi unaoonekana wazi hautaleta tija kwa taifa. That is throwing away good money after the bad.
Mkuu,
Usafiri wa reli na meli duniani kote, gharama zake ziko chini sana ukilinganisha na usafiri wa barabara. Hata sasa, jaribu kufanya order ya bidhaa hata kama hutanunua, then omba quote ya usafiri wa either 20ft/40ft container toka China mpaka bandari ya dar.
Then tafuta wasafirishaji wa hapa hapa bongo, uliza gharama za container hilohilo toka Dar-Mwanza; gharama ni mara 3 au 4 ya gharama ya kusafirisha toka China mpaka Dar. Ila kwa kutumia reli, gharama huwa ziko chini mno.

Tukipunguza gharama za usafirishaji wa malighafi au bidhaa mara baada ya SGR kukamilika, gharama ya vitu madukani pia itapungua. It is simple logic mafuta ya diezel/petrol kwa Dar na Tanga bei iko chini kuliko Mwanza au Bukoba. Simple reasoning gharama ya usafirishaji kwa maroli tunafidia wanunuzi wa mwisho.

Lengo la SGR ni zuri sana tu. Ila tunawajibu wa kushauri mambo gani mbadala yafanyike wakati huu kama source ya kuongeza uzalishaji kwenye mambo ambayo tuna deficit kubwa na tunategemea imports kama uzalishaji wa samaki, uzalishaji wa maziwa na kusindika, uzalishaji wa mayai... Haya ni mambo ambayo tukiweka mifumo ya kuwa na industrial farmers vijana wetu watapata ajira kwenye organized production pattern. Then tokea hapo tunawekeza kwenye mazao ya viwanda vya ndani na ku-export finished products. SGR itahusika kwenye mchakato wote huu. Hatuwezi kuikwepa. Mjerumani alikuwa na akili na alijenga RELI ya kati na ilimnufanufaisha mpaka sisi tumeikuta
 
Hili akina sisi tumesema sana, na kila siku tunauliza, are we in the right direction?.

P
Seriously KILIMO hakifanyi vizuri kwa kuwa tunatumia mbinu zilezile za toka mababu zetu. Factors za uzalishaji kwa haraka haraka zina athiriwa na mambo kadhaa ya kimfumo ambayo baadhi hatuna control nayo na kuna baadhi hatujafanya juhudi za kutosha ku-control;
Mvua; hatuna control nayo. Kuna wakati mvua inanyesha watu wanapanda, then inapotea mazao yashindwa kukukua. Ikirudi inabidi wakulima kuanza mwanzo tena au msimu unakuwa umeisha. Kuna wakati mvua inanyesha kwa wingi sana na kupitiliza na kukuta msimu wa mavuno kama Pamba au mpunga. Ikizidi msimu wa mavuno ya mpunga, inaharibu mpunga na pamba vilevile.

Mambo ambayo hatujadhibiti vya kutosha;
Agro-inputs (Mbolea, mbegu, agro-chemicals)
hapa kuna vitu feki/substandard vya kutosha. Bahati mbaya mnunuzi wa mwisho ambae ni mkulima hana maarifa ya kutosha kuhusiana na ubora wa agro-inputs. TPRI ina watendaji wachache na kwa asilimia kubwa tuna-import agro-inputs nyingi. Hapo ndipo tunapopigwa.

Moja ya industrial strategy kwenye kilimo ilitakiwa tuzalishe mbegu sisi wenyewe, tuzalishe mbolea, tuzalishe madawa na viwatilifu; kwa kufanya hivyo kuna fedha nyingi tungeokoa in exchange of creating employment and increasing fiscal circulation within. Nilitegemea moja ya mkakati unaotekelezeka wa Wizara za kisekta na wizara ya fedha wawe washafanya haya toka zamani. Mchonga alifanya sana kwenye eneo hili. Wakaja akina fulani wakaua kila kitu. Sasa tuna-import vitu veryvery basic.
Ningekuwa mjengoni, ningemwomba mkuu ya kaya japo Unaibu Waziri ili ku-create avenue dhana ya kukuza uchumi kupitia viwanda inafanyika kwa vitendo. JPM ana watendaji wengi wanavyofanya kazi, ukipima nini wanazungumza unapata kujua wako shallow kwenye nini kifanyike kuleta suluhisha la kudumu na endelevu.
 
Ningekuwa mjengoni, ningemwomba mkuu ya kaya japo Unaibu Waziri ili ku-create avenue dhana ya kukuza uchumi kupitia viwanda inafanyika kwa vitendo. JPM ana watendaji wengi wanavyofanya kazi, ukipima nini wanazungumza unapata kujua wako shallow kwenye nini kifanyike kuleta suluhisha la kudumu na endelevu.
Mkuu Freddie Matuja, nini kinakuzuia usiende mjengoni kumsaidia Mukulu?.

Ila kama ni kumsaidia taifa lako kwa dhati, bado unaweza kumsaidia sana bila hata kwenda mjengoni. Kwanza hizi nondo tuu unazomwaga humu ni msaada tosha, jamaa humu jf, anapita mwenyewe na sio kusubiria kuhadithiwa, kama yale mafaili anayo lala nayo yamepungua, usiku saa hizi tunakesha nae kwenye bandiko hili.

Hivyo we can't all got to be mjengoni to help out, wengine we can just help out by expressing our opinions freely humu mitandaoni and take it from me, wanasoma, yanawaingia na mengine, wanatekeleza.
P
 
Mkuu Freddie Matuja, nini kinakuzuia usiende mjengoni kumsaidia Mukulu?.

Ila kama ni kumsaidia taifa lako kwa dhati, bado unaweza kumsaidia sana bila hata kwenda mjengoni. Kwanza hizi nondo tuu unazomwaga humu ni msaada tosha, jamaa humu jf, anapita mwenyewe na sio kusubiria kuhadithiwa, kama yale mafaili anayo lala nayo yamepungua, usiku saa hizi tunakesha nae kwenye bandiko hili.

Hivyo we can't all got to be mjengoni to help out, wengine we can just help out by expressing our opinions freely humu mitandaoni and take it from me, wanasoma, yanawaingia na mengine, wanatekeleza.
P
Paskali,
Kama wanasoma na kutekeleza, basi mimi sioni kasi ya utekelezaji ikiwa na model ambazo nawasikia Mawaziri wa kisekta wakimsaidia mkuu wa kaya.
Kauli za mawaziri wa kisekta (KILIMO, MIFUGO, UVUVI, FEDHA, VIWANDA & BIASHARA) na mwitikio wa mode of operations zinatia shaka kama they're doing it in a right way.
 
Paskali,
Kama wanasoma na kutekeleza, basi mimi sioni kasi ya utekelezaji ikiwa na model ambazo nawasikia Mawaziri wa kisekta wakimsaidia mkuu wa kaya.
Kauli za mawaziri wa kisekta (KILIMO, MIFUGO, UVUVI, FEDHA, VIWANDA & BIASHARA) na mwitikio wa mode of operations zinatia shaka kama they're doing it in a right way.
Doing it is something, and doing it the right way is something else.
P
 
Mkuu,
Usafiri wa reli na meli duniani kote, gharama zake ziko chini sana ukilinganisha na usafiri wa barabara. Hata sasa, jaribu kufanya order ya bidhaa hata kama hutanunua, then omba quote ya usafiri wa either 20ft/40ft container toka China mpaka bandari ya dar.
Then tafuta wasafirishaji wa hapa hapa bongo, uliza gharama za container hilohilo toka Dar-Mwanza; gharama ni mara 3 au 4 ya gharama ya kusafirisha toka China mpaka Dar. Ila kwa kutumia reli, gharama huwa ziko chini mno.

Tukipunguza gharama za usafirishaji wa malighafi au bidhaa mara baada ya SGR kukamilika, gharama ya vitu madukani pia itapungua. It is simple logic mafuta ya diezel/petrol kwa Dar na Tanga bei iko chini kuliko Mwanza au Bukoba. Simple reasoning gharama ya usafirishaji kwa maroli tunafidia wanunuzi wa mwisho.

Lengo la SGR ni zuri sana tu. Ila tunawajibu wa kushauri mambo gani mbadala yafanyike wakati huu kama source ya kuongeza uzalishaji kwenye mambo ambayo tuna deficit kubwa na tunategemea imports kama uzalishaji wa samaki, uzalishaji wa maziwa na kusindika, uzalishaji wa mayai... Haya ni mambo ambayo tukiweka mifumo ya kuwa na industrial farmers vijana wetu watapata ajira kwenye organized production pattern. Then tokea hapo tunawekeza kwenye mazao ya viwanda vya ndani na ku-export finished products. SGR itahusika kwenye mchakato wote huu. Hatuwezi kuikwepa. Mjerumani alikuwa na akili na alijenga RELI ya kati na ilimnufanufaisha mpaka sisi tumeikuta

Gharama ya usafiri haishushwi na kuwepo kwa SGR au reli ya aina yeyote isipokuwa wingi wa mizigo. Usafiri wa reli na meli ni cheaper only where there's a bulky load. Hata mfano wako wa kusafirisha container unathibitisha hoja yangu: containers zinazotoka China kuja Dar ni nyingi kulinganisha na zinazotoka Mwanza kuja Dar. Hata tiketi ya ndege Dar - Dodoma ni aghali zaidi ya Dar - Mwanza kwa sababu hiyo hiyo.
World Bank walishatoa fedha ya kuimarisha railway network iliyopo kwa kuwa feasibility studies zilionesha kutokuwa na mizigo ya kutosha ku-justify ujenzi wa SGR. Ukweli ni kuwa SGR hii itakuwa white elephant maana realistically cost za kuitumia relative na mizigo iliyopo itakuwa kubwa zaidi ya kutumia usafiri wa barabara unless serikali itoe subsidy (ambao utakuwa mzigo mzito zaidi kwa mlipa kodi).
SGR zimekamilika Ethiopia na Kenya (wana mizigo mingi zaidi yetu based on their production levels na population density), zimepunguza gharama ya usafiri kwao? BIG NO. Itakuwaje tofauti kwetu wakati production level yetu iko very low na inazidi kushuka na population density yetu ipo low vile vile?
Whatever angle you look at this; TUMECHEMKA.
 
Ujenzi wa SGR uko in motion na kubeza ni sio sawa maana tayari tushaweka hela kule na lazima tukomae nayo mpaka ikamilike.
For now we need other productive projects which are inclusive in facilitating short term economic development ikiwemo kilimo. Mimi na wewe ni Watanzania. Baba akiamua kununua gari na kama ashalipia, njia pekee ni kumpa ushauri baba nini cha kufanya ili nasi kama wanafamilia tufaidike. Vinginevyo tunaweza kulia na kulaumu au kubeza kumbe hekima na busara ni kuwashauri na kuwashawishi wakubwa kwa hoja, staha na kwa facts.
Ukishauri kwa facts utaishia kutekwa au kupigwa risasi hadharani!!..........au utawekwa ndani ktk jina la uchochezi
 
Back
Top Bottom