Kwa Ujumbe huu, TCU imefunga system kwa Second selection?

Kwa Ujumbe huu, TCU imefunga system kwa Second selection?

Amri nhelegani

Senior Member
Joined
Sep 10, 2016
Posts
103
Reaction score
11
4fe0cc96d6312e3891ce36b83faa8316.jpg

Leo nacte kuna nn maana wanaandika SYSTEM CLOSED TO FAINALIZE SECOND SELECTION
 
Mi hadi leo naandikiwa update nta level 6 qualification, wakati nimefanya hivyo zaidi ya Mara elfu moja looh
 
Mi hadi leo naandikiwa update nta level 6 qualification, wakati nimefanya hivyo zaidi ya Mara elfu moja looh
Pole sana kijana, hii ni mara ya pili nauona huu ujumbe wako, em jaribu kuweka screenshot hapa labda utaeleweka zaid.

? Cheti ulikiscan na kuweka kwenye PDF..?! Uliupdate kabla ya dirisha kufungwa mana sidhan kama sasa hiv system inapokea mabadiliko yoyote.

Ni vema kwenda kuwaona wahusika
 
Mi hadi leo naandikiwa update nta level 6 qualification, wakati nimefanya hivyo zaidi ya Mara elfu moja looh
Pole sana au cheti chako hakitambuliki na nacte mkuu ila kama upo karibu nenda ofisini kwao.
 
Pole sana au cheti chako hakitambuliki na nacte mkuu ila kama upo karibu nenda ofisini kwao.

Nimetengenezewa cheti na hao hao NACTE (unaweza ukasema NACTE hawatengenezi vyeti ila ni kwamba tuliomaliza vyuo vya mifugo mwaka jana tulitengenezewa na NACTE). Kwa namna yoyote ile MATOKEO YANGU nacte wanayo na chuo nilichosoma kimekuwepo kwa zaidi ya miaka 40 na ni cha serikali, ni figisu tu za NACTE kunirusha roho.
 
Jamani naomba msaada nikifungua kwenye TCU wananiletea profile yangu tu na mwisho wa profile wamesema wait for selection sasa cjajua,maana hawajanambia kuwa nimechaguliwa au bado na nianza Ku apply upya wananambia system running for selection so nisaidien kunakuwa na shida gan
 
Pole sana kijana, hii ni mara ya pili nauona huu ujumbe wako, em jaribu kuweka screenshot hapa labda utaeleweka zaid.

? Cheti ulikiscan na kuweka kwenye PDF..?! Uliupdate kabla ya dirisha kufungwa mana sidhan kama sasa hiv system inapokea mabadiliko yoyote.

Ni vema kwenda kuwaona wahusika

Kwenye account yangu hakukua na means ya Ku attach PDF certificate/any document ila nilikua natakiwa nijaze details zifuatazo;-
1. Jina la chuo nilichosoma.
2. Mwaka niliomaliza.
3. Kozi niliyosoma.
4. Admission number (examination no.)

Baada ya hapo inanipeleka moja kwa moja kuchagua kozi.

Baadae nikiangalia kwenye profile naambiwa nimeshakamilisha mchakato wa kuomba chuo na sasa nisubiri zoezi la uchaguzi (selection).
Lakini nikiangalia pale kwenye NTA LEVEL 6 Qualification bado kuna bar nyekundu yenye maandishi mekundu inayonitaka ni UPDATE, nikirudia hizo hatua nne hapo juu bado naambiwa UPDATE vilevile.
Imekua kama mchezo wa HANGAISHA BWEGE na mimi ndiye BWEGE MWENYEWE.
Nimejaribu kuwasiliana na NACTE kwa namba zote walizoziweka pale hawapatikani, nimewaandikia barua pepe hawajajibu.

Sasa nilichoamua ni kuagiza glasi ya juisi ya majani ya mipapai na kuketi kwenye kiti cha miguu mitatu chini ya kivuli cha mti wa malimao na kupumzika huku niki "WAIT FOR SELECTION"

Nisiyejua niendako njia yoyote itanifikisha.

NB:- Sijaambatanisha "screenshot" kwa sababu saizi system haifunguki hivyo siwezi kufika kwenye profile yangu.
 
Kwenye account yangu hakukua na means ya Ku attach PDF certificate/any document ila nilikua natakiwa nijaze details zifuatazo;-
1. Jina la chuo nilichosoma.
2. Mwaka niliomaliza.
3. Kozi niliyosoma.
4. Admission number (examination no.)

Baada ya hapo inanipeleka moja kwa moja kuchagua kozi.

Baadae nikiangalia kwenye profile naambiwa nimeshakamilisha mchakato wa kuomba chuo na sasa nisubiri zoezi la uchaguzi (selection).
Lakini nikiangalia pale kwenye NTA LEVEL 6 Qualification bado kuna bar nyekundu yenye maandishi mekundu inayonitaka ni UPDATE, nikirudia hizo hatua nne hapo juu bado naambiwa UPDATE vilevile.
Imekua kama mchezo wa HANGAISHA BWEGE na mimi ndiye BWEGE MWENYEWE.
Nimejaribu kuwasiliana na NACTE kwa namba zote walizoziweka pale hawapatikani, nimewaandikia barua pepe hawajajibu.

Sasa nilichoamua ni kuagiza glasi ya juisi ya majani ya mipapai na kuketi kwenye kiti cha miguu mitatu chini ya kivuli cha mti wa malimao na kupumzika huku niki "WAIT FOR SELECTION"

Nisiyejua niendako njia yoyote itanifikisha.

NB:- Sijaambatanisha "screenshot" kwa sababu saizi system haifunguki hivyo siwezi kufika kwenye profile yangu.
Unaambiwa update inawezekana kozi uliyoichagua qualification zako hazijakizi vigezo (ufaulu wako na kozi ulizojaza haviendani ndo mana)
Alafu sasa hivi nacte wamefungua unaweza kuchek profile yako vizuri
 
Back
Top Bottom