johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,167
- 142,278
Huyu Mwananchi mkuu wa Wilaya ya Temeke mh Jokate baada ya kuonyesha utumishi uliotukuka kuwashughulikia Panyaroad anastahili kupandishwa kuwa RC DSM
Sabato njema!
Sabato njema!
Ebu John tuache, alafu unywe chai, tulia kwanza, ww una jump into conclusion kubwa kubwa tu hata kufikiri kidogo? Ogopa sana mtu anayefanya maamuzi makubwa kwa pupa bila kufikiri.. Ebu kaa chini, tulia John, una nini? John ebu jina hili lifanyie ukuuHuyu Mwananchi mkuu wa Wilaya ya Temeke mh Jokate baada ya kuonyesha utumishi uliotukuka kuwashughulikia Panyaroad anastahili kupandishwa kuwa RC DSM
Sabato njema!
Bwashee, kama unampenda sana Jokate, nenda kwake ukanywe nae chai,Huyu Mwananchi mkuu wa Wilaya ya Temeke mh Jokate baada ya kuonyesha utumishi uliotukuka kuwashughulikia Panyaroad anastahili kupandishwa kuwa RC DSM
Sabato njema!
Hahaha........wewe utakuwa Makolo wa MsimbaziEbu John tuache, alafu unywe chai, tulia kwanza, ww una jump into conclusion kubwa kubwa tu hata kufikiri kidogo? Ogopa sana mtu anayefanya maamuzi makubwa kwa pupa bila kufikiri.. Ebu kaa chini, tulia John, una nini? John ebu jina hili lifanyie ukuu
Hahaha........wewe utakuwa Makolo wa Msimbazi
Una laana kubwa halafu hujijui Kama una laanaHuyu Mwananchi mkuu wa Wilaya ya Temeke mh Jokate baada ya kuonyesha utumishi uliotukuka kuwashughulikia Panyaroad anastahili kupandishwa kuwa RC DSM
Sabato njema!
Dada, wa Taifa anadai eti toka JPM ajifie, huyo DISII amezidi kupendeza!Huyu Mwananchi mkuu wa Wilaya ya Temeke mh Jokate baada ya kuonyesha utumishi uliotukuka kuwashughulikia Panyaroad anastahili kupandishwa kuwa RC DSM
Sabato njema!
Umeshafura!Una laana kubwa halafu hujijui Kama una laana
Hahaha....... hutaki kuvunja bei wewe?!Mkuu yaani Mama tu mwenyewe mpaka sasa kutuacha hoi kwa gharama za maisha kupanda,sasa unapendekeza utopolo tena kwa Dar,dah!
Mkuu Yohana Mbatizaji, johnthebaptist , naunga mkono hoja, yako hii, Kwa ujasiri wa kukamata Panyaroad 100 kwa muda mfupi huyu DC Jokate apandishwe Cheo kuwa Mkuu wa mkoa wa DSM!, hivyo nashauri, akitoka ile likizo, apandishwe cheo, kutoka kuwa DC hadi kuwa RC, na apewe mkoa but not necessarily DSM!.Huyu Mwananchi mkuu wa Wilaya ya Temeke mh Jokate baada ya kuonyesha utumishi uliotukuka kuwashughulikia Panyaroad anastahili kupandishwa kuwa RC DSM
Sabato njema!
🤣🤣🤣🤣 Kwamba akiingia DC basi vijana wa Panyaroad ajira moja kwa moja kwenye shop la shemeji🤣🤣🤣🏃🏃🏃Hahaha....... hutaki kuvunja bei wewe?!
Jo umejawa na upuuzi mwingi mnoHuyu Mwananchi mkuu wa Wilaya ya Temeke mh Jokate baada ya kuonyesha utumishi uliotukuka kuwashughulikia Panyaroad anastahili kupandishwa kuwa RC DSM
Sabato njema!
Ujinga ni mzigoHuyu Mwananchi mkuu wa Wilaya ya Temeke mh Jokate baada ya kuonyesha utumishi uliotukuka kuwashughulikia Panyaroad anastahili kupandishwa kuwa RC DSM
Sabato njema!