Nima Imma
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 2,473
- 3,627
- Thread starter
- #21
Nimekuelewa vyema sana ,wala sijapenda shortcut kuna muda tu mtu unawaza mpaka unafikia mwisho wa kuwaza/kufikiriTabia ya pesa inapenda uthamani(value) ndio maana watu smart wanakwambia jiengezee Value ndio pesa itakifata...ni rahisi kwa Maxence Mello kupata uCEO wa AirtelTZ kuliko wewe usie na value, Rahisi MilladAyo kupata mchango wamatibabu akiumwa kuliko wewe, Rahisi Diamond kupata Deals za MaBillion kuliko muuza nazi mtaani.
Value ya Mbowe huwezi ifananisha na yako na value hiyo Mbowe hakuitenheneza Overnight inaelekea kipindi ambacho ndio wazo la ku-engage kwenye politics watu walimuona hana kazi yakufanya ila leo anauwezo wakichangiwa mpaka 500M kwa value aliyoitengeneza.
So usipende Shortcut tafuta vibarua, kazi za Ali ya chini, jiajiri locally ukishapata pesa utaiyengeneza Value yako zaidi.
Portfolio | 2020
Sent using Jamii Forums mobile app