Escotter20
JF-Expert Member
- Jul 20, 2020
- 465
- 842
Shikamoni wakubwa, polen na majukumu,
Mim mdogo wenu nimemaliza form six mwaka huu, nilikua nasoma PCB, nimepata ufaulu wa div2 pts 10 yan D-CHEMESTRY,C-BIOLOGY na C-PHYSCS.
Wakubwa zangu naulza kwa ufaulu huu je naweza kupata kozi ya udaktar yan MD.AU ni kozi gani itanifaa mdogo wenu
Nakaribisha mawazo yenu wakubwa zangu
Mim mdogo wenu nimemaliza form six mwaka huu, nilikua nasoma PCB, nimepata ufaulu wa div2 pts 10 yan D-CHEMESTRY,C-BIOLOGY na C-PHYSCS.
Wakubwa zangu naulza kwa ufaulu huu je naweza kupata kozi ya udaktar yan MD.AU ni kozi gani itanifaa mdogo wenu
Nakaribisha mawazo yenu wakubwa zangu