Sir John Deere
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 14,222
- 27,443
Huyu Bashiru katufundisha sisi wengine Political Science pale UDSM. Mimi binafsi alinifunza Organizations Theory nadhani ilikuwa Second Year.
Kimsimamo Bashiru pale "the hills" hatukumtofautisha na Mwalimu Nyerere kwa maana ya kupigania Haki na Demokrasia ya kila Mwananchi wa nchi hii.
Leo hii tunashangaa Bashiru huyu anabariki uvunjifu wa Haki za Binadamu, Ubakaji wa Demokrasia na uvunjifu wa amani ya Watanzania
Hakika tutakukumbuka Bashiru Ali 'But things Will Never Be The Same Again'
Kimsimamo Bashiru pale "the hills" hatukumtofautisha na Mwalimu Nyerere kwa maana ya kupigania Haki na Demokrasia ya kila Mwananchi wa nchi hii.
Leo hii tunashangaa Bashiru huyu anabariki uvunjifu wa Haki za Binadamu, Ubakaji wa Demokrasia na uvunjifu wa amani ya Watanzania
Hakika tutakukumbuka Bashiru Ali 'But things Will Never Be The Same Again'