mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Hii stori na tishio vya kuvunja muungano mbona siyo vipya. Mkithutubutu tutawavamia na kuwatawala milele bila hata ya kuwapa nafasi ya kuwa na rais wa baraza kama ilivyo sasa. By the way hata tukiamua kuwaacha mhangaike mtaishije bila bara wakati hamna viwanda na kila kitu mnategemea bara? Sana sana mkivunja muungano CUF itawatawala kimabavu na kihafidhina hadi mkome. Bila muungano zanzibar haitakuwapo. Pemba watataka wajitenge na Unguja na vile visiwa vingine vidogo navyo vitaamua kuwa jamhuri. Hivyo tutakuwa na utitiri wa jamhuri za kiwendawazimu kibao.