Kwa tulioumwa mafua yale ni mashahidi tosha, nahisi ile ilikuwa ni Covid 19

Habari wakuu
Mwaka jana mwishoni Dar ilikumbwa na ugonjwa wa mafua wa ajabu ambao ulisababisha wizara kutoa tamko kama linavyosomeka hapo chini

Kiukweli mimi nilikua ni mmoja wa watu niliougua mafua hayo, hali ile ilikua haina tofauti hata kidogo na hii corona wanayoisema sasa
Nilitembelea hospitali kama mbili hivi hapa mjini ili kubaini ni kitu gani kilinikuta,, homa ilikua kalo, kupumua kwa shida, joto kali sana lakini unaisikia baridi kali

Nilipimwa hospitali pasipokukutwa na gonjwa, ndipo nikalazimika mpaka kupiwa HIV lakini nayo hakuna!

Yale mafua yalinikondesha ghafla maana hata kula sikuweza

Leo ndio naikumbuka hii barua ya wizara, naicompare na COVID 19

View attachment 1409898
Na mimi kama nilipata hayo mafua. Sina kumbukumbu vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona inaziba huwezi kupumua kabisa.. ule ogonjwa ulikua hasa kichwa kilikua kinakong'ota utadhani vita.


Sina hakika kama ilikua corona labda kama wazungu waliibadilisha baada ya kuona hakuna madhara kwa version ya kwanza .. joking
Habari wakuu
Mwaka jana mwishoni Dar ilikumbwa na ugonjwa wa mafua wa ajabu ambao ulisababisha wizara kutoa tamko kama linavyosomeka hapo chini

Kiukweli mimi nilikua ni mmoja wa watu niliougua mafua hayo, hali ile ilikua haina tofauti hata kidogo na hii corona wanayoisema sasa
Nilitembelea hospitali kama mbili hivi hapa mjini ili kubaini ni kitu gani kilinikuta,, homa ilikua kalo, kupumua kwa shida, joto kali sana lakini unaisikia baridi kali

Nilipimwa hospitali pasipokukutwa na gonjwa, ndipo nikalazimika mpaka kupiwa HIV lakini nayo hakuna!

Yale mafua yalinikondesha ghafla maana hata kula sikuweza

Leo ndio naikumbuka hii barua ya wizara, naicompare na COVID 19

View attachment 1409898

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawawezi kuelewa...cough plus hazikunisaidia mimi, nilikuja kupata nafuu na tuvidonge fulani hivi vidogo dogo kimoja kinauzwa buku.
Halafu yale Mafua yanakondesha balaa, nilipungua ndani ya siku 3 cha ajabu yalivyoisha mwili ukarudi wenyewe.

Mjep pitia huku
Tuwekee picha tuone mwili ulivyorudi
 
Yanautofauti, ndo maana covid-19 inashambulia mfumo wa upumuaji, kitu ambacho ni kigumu kwa mafua ya kawaida

Na covid-19 kwa jina lingine inaitwa respiratory illness
Mkuu kwa hiyo watu wanavyokuambia walikuwa hawawezi kupumua huelewi bado?
 
Mkuu kwa hiyo watu wanavyokuambia walikuwa hawawezi kupumua huelewi bado?
Je walienda kupima wakaambiwa ni covid-19 hawakwenda, sio Kila homa ni malaria

Mfano typhod na malaria zinafanana sana, usipoenda kupima unaweza anza dozi ya malaria kumbe una typhoid, the same kwa mafua, Kuna aina tofauti tofauti za mafua na kwa asilimia kubwa zinafanana kwenye dalili, lakin haziko sawa
 
Je walienda kupima wakaambiwa ni covid-19 hawakwenda, sio Kila homa ni malaria
Mkuu unatambua jambo kwa matunda yake,Corona ni jina tu dalili ni zilezile, Kwanza hata madakitari hawakujua ni kitu gani( Rejea barua ya Wizara), Wewe jina ndio linakuchanganya na jinsi ugonjwa ulivyokuwa overrated.
Dalili ni zile zile, wenzetu mafua ya aina yoyote kwao ni tishio, soma statistics za WHO Uone watu wangapi wamefariki mwaka jana kwa ugonjwa wa mafua kabla ya the so called Corona.
 
Mkuu unatambua jambo kwa matunda yake,Corona ni jina tu dalili ni zilezile, Kwanza hata madakitari hawakujua ni kitu gani( Rejea barua ya Wizara), Wewe jina ndio linakuchanganya na jinsi ugonjwa ulivyokuwa overrated.
Dalili ni zile zile, wenzetu mafua ya aina yoyote kwao ni tishio, soma statistics za WHO Uone watu wangapi wamefariki mwaka jana kwa ugonjwa wa mafua kabla ya the so called Corona.
Hatuendagi hivyo kwa point yako unamaanisha hakuna haja ya vipimo kitu ambacho sio

Overated kwa hiyo hao wanaosema tujikinge ni wajinga wewe ndo unaakili
 
Hatuendagi hivyo kwa point yako unamaanisha hakuna haja ya vipimo kitu ambacho sio

Overated kwa hiyo hao wanaosema tujikinge ni wajinga wewe ndo unaakili
Mkuu wangapi hapa wamesema walivyoenda hopitali hawakupatikana na kitu? Na bado walikuwa na dalili zilezile?
Kwa hiyo huwezi kwenda kupima kitu ambacho hakipo!! Ila the fact kwamba wamesurvive makes reality kwamba huu ugonjwa unapona, mengine siyo ya nchi zetu, tuwaachie wao wapambane na mafua, wacha sisi tutaabike na vipindupindu.
Kujikinga ni sawa Dennis, lakini bado Corona sio tishio.
 
Habari wakuu
Mwaka jana mwishoni Dar ilikumbwa na ugonjwa wa mafua wa ajabu ambao ulisababisha wizara kutoa tamko kama linavyosomeka hapo chini

Kiukweli mimi nilikua ni mmoja wa watu niliougua mafua hayo, hali ile ilikua haina tofauti hata kidogo na hii corona wanayoisema sasa
Nilitembelea hospitali kama mbili hivi hapa mjini ili kubaini ni kitu gani kilinikuta,, homa ilikua kalo, kupumua kwa shida, joto kali sana lakini unaisikia baridi kali

Nilipimwa hospitali pasipokukutwa na gonjwa, ndipo nikalazimika mpaka kupiwa HIV lakini nayo hakuna!

Yale mafua yalinikondesha ghafla maana hata kula sikuweza

Leo ndio naikumbuka hii barua ya wizara, naicompare na COVID 19

View attachment 1409898

Huo Ndio uhalisia mkuu..hii kitu ilitupiga sana miezi hiyo ya mwishon mwa 2019 lakini baada ya kirusi kudunda kiliwarudia waliokituma na matokeo yake mnayaona mpaka sasa..na kwa hakika tutavuka salama kabisa katika hiki kipindi maana tayari kwetu kilishapita na kwa Neema za Mungu tutaishi..hili jina la Corona ni hofu tu lakini ni upepo ule ule uliokwisha kupita
 
Hata mimi niliugua mafua makali sana mwezi february nikapona mwezi march.

Pua ilikuwa inabana napumua kwa tabu sana hasa usiku.

Nikapata na vidonda vya koo vikanisababishia kikohozi kikavu mwanzoni but later on kilianza kupungua taratibu.

But all in all nilikuwa nijilipua tu kwenda shambani nikifika nasahau mafua jioni yanarudi tena kwa kasi ya ajabu.

Mungu si Athumani mpaka sasa nadunda tu.
Hata Mimi ilinikuta hii yaani hata kuinuka nahisi maumivu kifuani Kama mtu ananikandamiza ,mafua ,home Kali ,mwili kuishiwa.nguvu nilipima kila kitu nikatoka fresh lakini bado nilikuwa naumwa .

Eti vikapotea vyenyewe

Hadi leo April sijagusa hata aspirin

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom