screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Unaweweseka tu humu. Huifahamu stand up comedy. Plain. Simple fact. Mambo ya umri nimeshakwambia hayahusiani.usiumie sana hayo yote ni mtizamo wangu na wewe una wako ambao na uheshimu. nlitaka kukwambia tu mimi stand up comedy nazifaham pengine kabla hujazaliwa au hujapata akili. anyway..wewe kama unampenda pilipili si umwite kwenu mkanuwe naye chai??????????? ikiwa wewe kweli si pilipili mwenyewe maana yupo humu na IDs zake watu wanzifaham.
Umeongea point sana ni sawa na kusema ebitoke kisa anachekesha afanye standup comedy kusimama zaidi ya saa na kuchekesha watu sio kazi ndogoJoti kuchekesha ktk maigizo yake sio lazma aweze pia kuchekesha ktk stand up comedy,stand up comedy ni ngumu tofauti na maigizo ya kutengeneza.lakini ni vizur tukaacha tabia ya kugeneralize mambo,binafsi ktk wachekeshaji wanaonichekeshaga sana tu ni pamoja na Mc pilipili,wakat mwingine hv vitu vinataka uwe una sense of humour and less serious na uwe umejiweka ktk mood ya kuchekeshwa.
Point hiyoUmeongea point sana ni sawa na kusema ebitoke kisa anachekesha afanye standup comedy kusimama zaidi ya saa na kuchekesha watu sio kazi ndogo
Post sent using JamiiForums mobile app