Hata kama ni biashara kwa staili hii hata wateja hapati labda huyo mteja awe chiz... na huyo chiz sijui kama atamlipa.. Hi ni kali.. mchana kweupe brbani uchi!!! Ni Mtz huyu???? Halafu ni mtu mzima... loh kachukiza kama nini!!!! Aghaaaaa!!
Don't judge a book by its cover, anaweza kuwa mzima kuliko inavyoweza kudhaniwa. Watu kama hawa katika jumuiya ya watu wengi hawakosekani. Hii ni aina tu ya kichaa, centre ya aibu katika ubongo wake imekufa, hajitambui hapo alipo!
Tuliombee taifa letu!Ila sahihisho ni kuwa kumuona mtu kinondoni si kama anakaa kinondoni!!Yawezekana anakaa sehemu nyingine kama nawe ulivyomkuta maeneo hayo!!
Jamani hamna kazi mnashangaa shangaa! kashangaeni bungeni waziri anatumia dk4 kumpa valentine mkewe, dk2 kujibu swali! kashangaeni pia mambo ya Tgwadanganyika, na dowans.....nknknk.
Aacheni zenu hizo mwenzenu nchi imemchanganya sasa angalau ajipe raha mwenyew tatizo nini? ingekuwa usiku wengi mngeanza ujogoo pori.
basi jamani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.