johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,718
- 143,156
Niwe mkweli uchaguzi uliopita sikukiangalia zaidi chama bali wagombea.
Ndiposa jimboni kwangu Kawe kichwa nilichagua kutoka CCM na wasaidizi wake nilichagua Chadema.
Matokeo yalipotoka Rais na mbunge nilifanikiwa lakini diwani nilipoteza baada ya uchakachuaji.
Uchaguzi wa 2020 nitachagua mafiga matatu kutoka CCM na hii itafanywa na wananchi wengi kutokana na kazi kubwa inayofanywa na Mwenyekiti wa CCM ambaye ndio Rais wetu pia.
Kama kweli lile chekeche la kamati kuu ya CCM litafanya kazi sawasawa kuengua wezi na mafisadi basi bunge lijalo litakuwa na 95% ya wabunge kutoka CCM hiyo 5% watapata wapinzani kutoka Zanzibar City.
Msihudhunike makamanda haya ni mawazo yangu tu.
Maendeleo hayana vyama!
Ndiposa jimboni kwangu Kawe kichwa nilichagua kutoka CCM na wasaidizi wake nilichagua Chadema.
Matokeo yalipotoka Rais na mbunge nilifanikiwa lakini diwani nilipoteza baada ya uchakachuaji.
Uchaguzi wa 2020 nitachagua mafiga matatu kutoka CCM na hii itafanywa na wananchi wengi kutokana na kazi kubwa inayofanywa na Mwenyekiti wa CCM ambaye ndio Rais wetu pia.
Kama kweli lile chekeche la kamati kuu ya CCM litafanya kazi sawasawa kuengua wezi na mafisadi basi bunge lijalo litakuwa na 95% ya wabunge kutoka CCM hiyo 5% watapata wapinzani kutoka Zanzibar City.
Msihudhunike makamanda haya ni mawazo yangu tu.
Maendeleo hayana vyama!