Hapanaa wala hata chembe chembee hizo sinaa. Usingizi kwangu nistarehe ingine kabisaaaa stakagi kerooWewe utakuwa msukuma au mkurya
Kweli hii inawahusu wenye ndoa..sisi wa shoo za mchana tena magetoni ya kuazima ngoja tuendelee kusoma comments
Hizo staili zinahusika sana mitaa ya kanda za juu kwenye baridi..kwa dsm na joto hili tutadanganyana tu.Hapo mimi siwezi pata usingizi, labda nipige shoo kwanza.