LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,694
- 13,324
Mwanzoni ilikuwepo ndege iliitwa fast jet ile ndege ilikuwa ina route nauli hadi sh 90000 watu walikuwa wanajaza vibaya na watu wakaona ni mkombozi na ilikuwa inajiendesha kwa faida kwa nauli hiyo hiyo na ilikuwa ni airbus
ila alivyoingia jpm akaifufua air Tanzania ile fastjet zikapotea na watu wakalalamika sana
Maana air Tanzania ilikuja na nauli kubwa watu wakashindwa kuaford mwisho wa siku ndege zikawa zinapaa tupu CAG akawa anakuja na taarifa za hasara kila mwaka shirika linakula hasara
Sasa sijui ATcl itakuwa imepata CEO mya au mshauri wa biashara naona now wamelijua tatizo wakaja na mkakati wa kupunguza nauli na hili wakiendelea nalo now shirika litaanza kufanya kazi kwa faida
Now naona nauli ya dar zanzibar ni sh 88,000 ingia kwenye website yao now
Leo asubuhi Dar arusha ilikuwa sh 150,000
Usiiku nliona tiketi za mwanza 120,000 hadi 99,000
Now naona wamedhamiria kuliko ndege zisafiri zikiwa tupu ni heri wapunguze nauli watu wajae na hili litafanya kazi
Kwa mfano jana nimeenda mwanza kwa sh 120000 jioni nikageuza kwa sh 99000
Usiku nimeona tiketi za mbeya sh 99000, na naona shirika lina ndege kila route wapo aisee
Lala salama John pombe magufuli
ila alivyoingia jpm akaifufua air Tanzania ile fastjet zikapotea na watu wakalalamika sana
Maana air Tanzania ilikuja na nauli kubwa watu wakashindwa kuaford mwisho wa siku ndege zikawa zinapaa tupu CAG akawa anakuja na taarifa za hasara kila mwaka shirika linakula hasara
Sasa sijui ATcl itakuwa imepata CEO mya au mshauri wa biashara naona now wamelijua tatizo wakaja na mkakati wa kupunguza nauli na hili wakiendelea nalo now shirika litaanza kufanya kazi kwa faida
Now naona nauli ya dar zanzibar ni sh 88,000 ingia kwenye website yao now
Leo asubuhi Dar arusha ilikuwa sh 150,000
Usiiku nliona tiketi za mwanza 120,000 hadi 99,000
Now naona wamedhamiria kuliko ndege zisafiri zikiwa tupu ni heri wapunguze nauli watu wajae na hili litafanya kazi
Kwa mfano jana nimeenda mwanza kwa sh 120000 jioni nikageuza kwa sh 99000
Usiku nimeona tiketi za mbeya sh 99000, na naona shirika lina ndege kila route wapo aisee
Lala salama John pombe magufuli

