Habari zenu mimi mdogo wenu nina miaka 24 nimemaliza degree 2023 Bachelor of Commerce (specialized in Tourism management).
Kwa sasa nina uhitaji wa kazi yeyote inayohusiana na hata isiyohusiana na nilichosomea kasoro kazi za bar .Niko Dar es salaam(Mbagala).
Nawaomba sana hata kama unasehemu unaijua naweza mpeleka vyeti au una duka au kitu chochote naweza kufanya kwa uaminifu niokoeni mdogo wenu jiji gumu hili nisaidieni ili nisidumbukie dimbwi baya.
Kwa sasa nina uhitaji wa kazi yeyote inayohusiana na hata isiyohusiana na nilichosomea kasoro kazi za bar .Niko Dar es salaam(Mbagala).
Nawaomba sana hata kama unasehemu unaijua naweza mpeleka vyeti au una duka au kitu chochote naweza kufanya kwa uaminifu niokoeni mdogo wenu jiji gumu hili nisaidieni ili nisidumbukie dimbwi baya.