wanatoka katika mwelekeo .wa kijamaii. ukiangalia taarifa zao nyingi ni viongozi huyo kasema huyu kaonya ,habari za jamii hasa ,suala la maji ,kero mbalimbali ,wanazikwepa kero za wafugaji na wakulima huripotiwa kama vile sio kero bali migogoro ,elimu wanagusia kwa mbali
ITV wapo kibiashara na uwezi kumpangia mtu biashara yake afanyeje.Hata wakisifia sishangai kila mtu atetee biashara yake,madhara ya kufungiwa aijuaye anayefungiwa.Bora watii magizo kutoka juu kwa usalama wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.