Walisema ana mimba,tusubiri tuone!
Haya tena kumekucha..........mkuu wa Bunge amekazana kutoa ngoma droo na mkuu wa serikali.......kilichonisukuma hapa ni kwamba nimemfuatilia sana mama yetu akiwa safarini nje ya nchi anaondoa lile wigi na kusuka hivi (na anapendeza sana haata wengi waliwahi kuchangia humu) lakini kinachonishangaza ni kwamba akiwa mjengoni anatundika lile WIGI lake...Je ni ushauri wa kamati ya Ufundi????
View attachment 68909
Lile wigi ndani yake kumetundikwa Fumbala( hirizi) za toka Yakobi Njombe kamati yake ya Ufundi na maudhui haiwezi kukubali aingie Mjengoni na kukalia kigoda bila zana si unajua Wabongo walivyo wanga??????
Haya tena kumekucha..........mkuu wa Bunge amekazana kutoa ngoma droo na mkuu wa serikali.......kilichonisukuma hapa ni kwamba nimemfuatilia sana mama yetu akiwa safarini nje ya nchi anaondoa lile wigi na kusuka hivi (na anapendeza sana haata wengi waliwahi kuchangia humu) lakini kinachonishangaza ni kwamba akiwa mjengoni anatundika lile WIGI lake...Je ni ushauri wa kamati ya Ufundi????
View attachment 68909
Ni kweli ana mimba ya Wasira
Unatania, right?
Walisema ana mimba,tusubiri tuone!
mbona kesha abort!