Kwa PSPA na mengine kwa UDSM

Kwa PSPA na mengine kwa UDSM

monta

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2014
Posts
1,297
Reaction score
1,861
Wakuu naombeni msaada wenu nimechaguliwa course ya political science and public administration university of Dar es Salaam.Naombeni kufahamu kuhusu hiyo course na mengine mengi kuhusu udsm.Pia wale ambao tumechguliwa PsPa wote pale naomba tufahamiane.Nawasilisha
 
nimeamin kweli course zote lazima zipate watu....hata cultural heritage ya udsm lazima itakuwa na RAIA....watu hawaogopi
 
Demu wangu alikua anaisoma hyo,kahitimu mwaka huu.sema nin,ukifika mwaka wa pili kuna specialization kati ya international relation,public administration na politics.so ni wewe mwenyewe unataka kuwa upande gani.kwa maelezo zaidi nitafute PM.
 
Demu wangu alikua anaisoma hyo,kahitimu mwaka huu.sema nin,ukifika mwaka wa pili kuna specialization kati ya international relation,public administration na politics.so ni wewe mwenyewe unataka kuwa upande gani.kwa maelezo zaidi nitafute PM.

umeanza vzuri sana . sema uliposema akuPM umeharibu.....ni wewe uliyekuwa unaisoma iyo course
 
umeanza vzuri sana . sema uliposema akuPM umeharibu.....ni wewe uliyekuwa unaisoma iyo course
me siwezi kusoma pspa shehe,masomo ya maelezo mengi nina allergy.nimemjibu kulingana na mwongozo wa prospectus ya udsm+maelezo ya shemeji yako.
 
Demu wangu alikua anaisoma hyo,kahitimu mwaka huu.sema nin,ukifika mwaka wa pili kuna specialization kati ya international relation,public administration na politics.so ni wewe mwenyewe unataka kuwa upande gani.kwa maelezo zaidi nitafute PM.

Ok sawa mkuu
 
Ni coz nzuri na mdau hapo juu anachosema ni sawa pspa mwaka wa kwanza mnasoma political sc in general but kuanzia mwaka wa Pili una option ya kujikita ama kwenye international relation au public administration changamoto ya coz hii ni soko LA ajira ila hilo lisikukatishe tamaa zaidi maana mpka unachagua coz hiyo bila shaka ulikuwa ulirizika nayo na kuipenda
 
Ni coz nzuri na mdau hapo juu anachosema ni sawa pspa mwaka wa kwanza mnasoma political sc in general but kuanzia mwaka wa Pili una option ya kujikita ama kwenye international relation au public administration changamoto ya coz hii ni soko LA ajira ila hilo lisikukatishe tamaa zaidi maana mpka unachagua coz hiyo bila shaka ulikuwa ulirizika nayo na kuipenda

Kwel mkuu..mim naipenda hyo toka kitambo sanaa
 
Back
Top Bottom