Mkuu, mbona umechelewa sana kufanya maamuzi ya kukichukia hiki chama? ungeg=fanya maamuzi siku nyingi huenda Dr wa ukweli saa hizi angekuwa state house, ona sasa kuchelewa kwako we na wengine tumeyapata haya, anyway, Watanzania wenzangu, hivi magamba watushike sehemu gani ndo tujue hawatupendi?