Masikini ndio kawaida yao.
Ingekuwa amri yangu, hakika masikini wangeuawa na kutupwa mto kagera wakaliwe na mamba.
Masikini ni kama nyani ukicheka naye unavuna mabua.
Kujiweka kaaribu na masikini ni kujichimbia kaburi lako.
Masikini wote sio waaminifu na ndio maana hawafanikiwi.
Ukiona mtu ni masikini basi jua sio mwaminifu na ndio maana vitabu vinakuambia ukimsaidia masikini usisubiri kulipwa kwa maana utajiumiza moyo kwa kuona anakudanganya. Andiko hilo halimaanishi ukimsaidi mtu hapaswi kurudisha fadhila, ni lazima urudishe fadhila kwa aiyekusaidia lakini kwa masikini kwa sababu wengi ni majizi, matapeli watakuambia kutoa ni moyo, kisha yatamalizia ukitoa usisubiri kurudishiwa.
Wingi wa watu kutokuwa waaminifu unatokana na wingi wa uwepo masikini
Jamii zote zenye masikini wengi ndizo zinaongoza kwa kutokuwa waaminifu
Jamii tajiri zinaongoza kwa uaminifu