sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,743
- 6,237
Ni jambo la ajabu na linatia hasira sana.
Unapita sokoni unamwambia muuzaji niwekee nyanya au machungwa nk, usipoangalia unafika home nyingi zimeharibika kabuvisha.
Mama ntilie anakuuzia maziwa ukitia mdomoni ni maji tu hamna kitu. Kwanini asiwe bei kubwa ila maziwa ya kueleweka?
Fundi magari, kwa mfano unapeleka gari kwa fundi, tatizo ni break, anagundua labda fuse ya magneto ndio imeungua ila atafungua valve yote na huenda akakupiga bei ya valve mpya kabisa.
Fundi ujenzi anasema mifuko ya siment 20 then anatumia 10 au 15 mitano yake, nondo bati ndio usiseme, unaweza wekewa nondo mbili wakati hesabu ni nondo nne au tatu.
Hii sio kwa kampuni wala watu binafsi, wengi wao ni shida tupu.
Kwanini hivi? Binafsi ni bora uniuzie kitu bei kubwa ila usinifanyie magumashi huwa nakuwa na hasira sana. Kuna muda hadi natamani niwe na gun 🔫
Unapita sokoni unamwambia muuzaji niwekee nyanya au machungwa nk, usipoangalia unafika home nyingi zimeharibika kabuvisha.
Mama ntilie anakuuzia maziwa ukitia mdomoni ni maji tu hamna kitu. Kwanini asiwe bei kubwa ila maziwa ya kueleweka?
Fundi magari, kwa mfano unapeleka gari kwa fundi, tatizo ni break, anagundua labda fuse ya magneto ndio imeungua ila atafungua valve yote na huenda akakupiga bei ya valve mpya kabisa.
Fundi ujenzi anasema mifuko ya siment 20 then anatumia 10 au 15 mitano yake, nondo bati ndio usiseme, unaweza wekewa nondo mbili wakati hesabu ni nondo nne au tatu.
Hii sio kwa kampuni wala watu binafsi, wengi wao ni shida tupu.
Kwanini hivi? Binafsi ni bora uniuzie kitu bei kubwa ila usinifanyie magumashi huwa nakuwa na hasira sana. Kuna muda hadi natamani niwe na gun 🔫