Paroco
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 3,039
- 12,148
Sala ni Maongezi kati ya mwanadamu na Mungu.
Tunapiga story na Sir God kupitia sala.
Na kwakuwa binadamu hajakamilika, bado tunayo mahitaji mengi tuu ambayo pamoja na kuwa Mungu anayajua lkn yapo mengine tunamkumbusha na mengine tunamuomba atuongezee.
Pia Mungu yupo sirini na unapoongea nae na wewe unatakiwa kuwa sehemu iliyotulia.
Sio kama zile kelele za walokole wale ni kama wapo kilabuni tuu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tunapiga story na Sir God kupitia sala.
Na kwakuwa binadamu hajakamilika, bado tunayo mahitaji mengi tuu ambayo pamoja na kuwa Mungu anayajua lkn yapo mengine tunamkumbusha na mengine tunamuomba atuongezee.
Pia Mungu yupo sirini na unapoongea nae na wewe unatakiwa kuwa sehemu iliyotulia.
Sio kama zile kelele za walokole wale ni kama wapo kilabuni tuu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂