Kwa nini watu wanasali?

Kwa nini watu wanasali?

Sala ni Maongezi kati ya mwanadamu na Mungu.

Tunapiga story na Sir God kupitia sala.
Na kwakuwa binadamu hajakamilika, bado tunayo mahitaji mengi tuu ambayo pamoja na kuwa Mungu anayajua lkn yapo mengine tunamkumbusha na mengine tunamuomba atuongezee.

Pia Mungu yupo sirini na unapoongea nae na wewe unatakiwa kuwa sehemu iliyotulia.

Sio kama zile kelele za walokole wale ni kama wapo kilabuni tuu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Swali fikirishi.

Kusali ni njia ya kuambatana na yale ambayo Mungu amepanga. Unaweza ukapishana na mpango wa Mungu kama utatembea nje ya kusudi lake, hivyo sala inakusaidia kubaki katika njia sahihi.
Huyo Mungu hajui wajibu wake wa kutimiza mahitaji ya watu hadi aombwe?
Unaweza kuuliza . Je Kama Mungu ameshaona kuwa hata ukisali bado huko mbelen utateleza . Je kwanini tunasali?.

Mungu ana mipango yake na ww. Na yeye ndio anajua. Kwahiyo Ni fumbo.

Hivyo ni bora kusali . Na kumuachia Mungu hayo mengine ili mapenz yake yatimizwe hapa duniani na huko mbinguni.
Huyo Mungu hajui wajibu wake wa kutimiza mahitaji ya watu mpaka asaliwe?
 
Sala ni Maongezi kati ya mwanadamu na Mungu.

Tunapiga story na Sir God kupitia sala.
Na kwakuwa binadamu hajakamilika, bado tunayo mahitaji mengi tuu ambayo pamoja na kuwa Mungu anayajua lkn yapo mengine tunamkumbusha na mengine tunamuomba atuongezee.

Pia Mungu yupo sirini na unapoongea nae na wewe unatakiwa kuwa sehemu iliyotulia.

Sio kama zile kelele za walokole wale ni kama wapo kilabuni tuu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwa hiyo huyo Mungu anasahau mahitaji ya watu mpaka akumbushwe kwa sala na maombi ya watu?

Hivi huyo Mungu wenu anajielewa kweli?
 
Swali fikirishi.

Kusali ni njia ya kuambatana na yale ambayo Mungu amepanga. Unaweza ukapishana na mpango wa Mungu kama utatembea nje ya kusudi lake, hivyo sala inakusaidia kubaki katika njia sahihi.

Unaweza kuuliza . Je Kama Mungu ameshaona kuwa hata ukisali bado huko mbelen utateleza . Je kwanini tunasali?.

Mungu ana mipango yake na ww. Na yeye ndio anajua. Kwahiyo Ni fumbo.

Hivyo ni bora kusali . Na kumuachia Mungu hayo mengine ili mapenz yake yatimizwe hapa duniani na huko mbinguni.
Sasa kwa nini watu waliolowea kwenye dini hawana mafanikio kama wale ambao hawashindi makanisani..

Usinisome vibaya. Mimi ni muumini mzuri tu wa maombi na ninajua nguvu ya maombi haswa kwenye spiritual world.

Ila huwa najiuliza hili swali, ina maana Mungu anajua nachotakiwa kuwa, anaijua potential yangu na nini natakiwa kuwa, ila anamuacha mtu mwingine afanye anachotaka na hata kuzuia steps zangu

Na mara nyingine kuna wanaofariki pale tu wanapoanza kufanikiwa kiukubwa

Sasa kama lipo kusudi , je utalijuaje na kama linaweza kuzuiliwa ama lisitimie. Sasa hapo maisha yanakuwa yanaongozwa na kusudi hilo au decison ambayo mtu unafanya maana kwa kiasi kikubwa ndio inaamua kesho yako iweje kama hakuna external factor zitakazoingilia
 
Kama Mungu tayari ana mipango yake juu ya maisha yako na mipango yake iko sahihi kwa sababu Mungu muweza wa yote hajawahi kukosea, kwa nini sasa unasali? Kwa nini unafanya maombi?

Unajaribu kubadilisha mipango ya Mungu? Shame on you
Kwa nini na wewe husali? Kwa nini hufanyi maombi?
Majibu utakayo yajibu, yageuze kuwa kinyume chake.
 
kwanza sala ni kama meditation, sasa kwa nini watu wanafanya meditation? imekuwa proven kisayansi kabisa kwamba meditation inasadia kiafya, hivyo hiyo pia ni moja kati ya sababu za kusali, sala sawa na mediation, ina the same effect and meaning.

unaposali you are in the zone ...
Mzee wa kamba na vilaza huwa unawaokota sana
 
Huyo Mungu hajui mahitaji yako hadi umsalie?

Mahitaji ni mengi
kusali ni kuyawekea kipaumbele na Mungu atajibu maombi na kubariki
Mungu anaangalia moyoni mahitaji yako kwa njia ya sala

wengi wapo mbali na Mungu na Mungu hajui wanachotaka wengi wanabaki wakiteseka
 
Mahitaji ni mengi
kusali ni kuyawekea kipaumbele na Mungu atajibu maombi na kubariki
Mungu anaangalia moyoni mahitaji yako kwa njia ya sala
Huyo Mungu hajui mahitaji yako hadi aangalie moyoni mwako?

Mungu mnayedai kwamba anajua yote tangu mwanzo na hata milele, Sasa anashindwaje kufahamu mahitaji ya watu mpaka aombwe na asaliwe?
wengi wapo mbali na Mungu na Mungu hajui wanachotaka wengi wanabaki wakiteseka
Huyo Mungu anashindwaje kufanya watu wasiwe mbali nae?

Huyo Mungu alishindwaje kuumba binadamu ambao hawatokaa mbali nae?

Huyo Mungu anashindwaje kufanya watu wawe karibu nae?
 
Kwa hiyo huyo Mungu anasahau mahitaji ya watu mpaka akumbushwe kwa sala na maombi ya watu?

Hivi huyo Mungu wenu anajielewa kweli?
😂😂😂😂😂
Hasahau na ndio maana anasema, "Nalikujua tangu ukiwa tumboni mwa Mama yako". Tafsiri hiyo ni kwamba anatujua vyema na kwamba tunapokuwa karibu naye kwa kuyatenda yampendezayo nae anakuwa karibu nasi vivyo hivyo.


Na kinyume chake pia unapokuwa mbali nae nae pia anakuwa mbali nawe.

Bahati mbaya mwanadamu si mkamilifu mbele za Mungu ndio maana tunajifungamanisha nae mara kwa mara kupitia sala.
 
😂😂😂😂😂
Hasahau na ndio maana anasema, "Nalikujua tangu ukiwa tumboni mwa Mama yako". Tafsiri hiyo ni kwamba anatujua vyema na kwamba tunapokuwa karibu naye kwa kuyatenda yampendezayo nae anakuwa karibu nasi vivyo hivyo.


Na kinyume chake pia unapokuwa mbali nae nae pia anakuwa mbali nawe.

Bahati mbaya mwanadamu si mkamilifu mbele za Mungu ndio maana tunajifungamanisha nae mara kwa mara kupitia sala.
Huyo Mungu alishindwaje kuumba binadamu wakamilifu tu?

Au alitaka binadamu wasiwe wakamilifu ili wamsalie kila kukicha?
 
Back
Top Bottom