impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,732
- 7,611
Hata hivo Mungu wa wa China Alisha kufaNichangie mambo ya imani jF.
Nchina wa jF.
Na washawasha!
Hata hivo Mungu wa wa China Alisha kufaNichangie mambo ya imani jF.
Nchina wa jF.
Na washawasha!
Wengi jf wamepotea nilidhani mchina nae kapotea au huenda anapimwa mkojo !!!!!!!!!!!Nichangie mambo ya imani jF.
Nchina wa jF.
Na washawasha!
Bila maandiko ya EGW hakuna Usabato...Wasabato hawatumii maandiko Ellen G White wanatumia maandiko ya Biblia Takatifu
Ellen G White alikuwa Nabii Mke wa Kikundi cha Kisabato.....Yeye ndiye muanzilishi wa Kikundi cha SDAEllen White Hakuwa Mchungaji soma Bible Hakuna sehemu inayompa mamlaka mwanamke kuwa Mchungaji
Mtani upo!!!!!
Umerudi na mada zako gombanishi
Ningekuwa kiongozi ningetoa amri Upimwe Mkojo
Lete ukweli..Acha uongo
Umeshawahi kukutana na Sheikh mwanamke mkuu?Kanisa la sabato mwanzilishi mwanamke. Vitabu wanavyotumia vya huyo mwanamke Helen White. Kwa nini hawawapi uchungaji wanawake? Wakati huyo Mama White ndie mhimili wa imani Ya kisabato?
Tuwaulize Wasabato...Sio tu kuwa mchungaji. Mwanamke akiwa kwenye siku zake utakiwi kumsongelea. Sembuse kuwa mchungaji
Wasabato ni kutoka Eden siyo kikundi Mtani kauli yako si nzuriEllen G White alikuwa Nabii Mke wa Kikundi cha Kisabato.....Yeye ndiye muanzilishi wa Kikundi cha SDA
Sina cha kujibu ina maana mkeo akiwa mwezini mnatengana kitandaSio tu kuwa mchungaji. Mwanamke akiwa kwenye siku zake utakiwi kumsongelea. Sembuse kuwa mchungaji
Usilolijua ni usiku wa gizaMwite vyovyote utakavyo ninachojua Alikuwa kiongozi mkubwa wa kisabato ambaye mafundisho yake ndio msingi wa sabato. Swala lini sabato watawapa wanawake nafasi za uongozi za juu za kuwa viongozi wakuu wa sabato kanisani mkoani au taifa au duniani Kama wachungaji maaskofu nk ambao wanawasimamia na wanaume yaani vidume vinapiga saluti kwao Kama ambavyo wanapiga saluti kwa mwanamama hellen White. Kama mwanamama Helen white anaweza kwa nini binti zake wasipewe nafasi za kuonyesha uwezo wao?
Eti ehh...Ndio maana tunasema Wasabato siyo Wakristo...Ni kikundi kinachopenda kujiita na kujifananisha na WakristoWasabato ni kutoka Eden siyo kikundi Mtani kauli yako si nzuri
Kingine , Wasabato ni muunganiko wa Vikundi vitatu vya Kiharakati(The Millerite mvt, Joseph na Hiram Mvt, Kisha EGW Mvt)Wasabato ni kutoka Eden siyo kikundi Mtani kauli yako si nzuri
watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa NO RESEARCH NO TALK. Unapotoa.hoja toa na udhibitisho uzuri Dini zote ni recorded jaribuni kumuomba mungu mwenyew awape ukweli lkn mda si mrefu haya yatakuwa ndo ushahidi mbele za munguMimi nimezaliwa na kukulia katika imani hii ya kisabato ila kuna kipindi kilifika nikawa najaribu kujihoji kuna vitu nikawa sivielewi.Inshort wasabato wengi ni watu ambao ni kama wana mental slaves na conferences zikiwa slave masters.kitu kilichonikera zaidi kwa wasabato mpaka nikapunguza kwenda kanisani ni kushindwa kumuhubiri Mungu na neno lake badala yake ni kupondaponda makanisa mengine especially RC.kuna siku nilicheka mchungaji alisema eti papa amemukufuru yesu kwa kusema kazi ya yesu msalabani ilifeli ila nilipoitafuta kauli ya papa Francis ni kweli alisema ila alichokuwa anamaanisha ni tofaut na upumbavu ambao mchungaji aliwaaminisha mental slaves wengi wa kisabato
Sent using Jamii Forums mobile app
Masheikh wanawake wapoUshawahi kuona padri mwanamke au sheikh mwanamke?
Makandila