Kwa nini wanawake hulia siku ya ndoa...

Kwa nini wanawake hulia siku ya ndoa...

St. Paka Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2010
Posts
7,994
Reaction score
5,231
Nimeikuta hii katika blog ya Swahili Time nikaona si vibaya tukiulizana na kupeana sababu tofauti...


bride-crying.jpg

Swali uliulizwa:

Hawa najiuliza, kwanini mabibi harusi wengi wanapenda kulia siku ya ndoa?

1. Jee! Ni uchungu au furaha kwa kupata mume?

2. Ni uchungu au kufaraha ya kuondoka mazingira ya nyumbani kwao?

3. Ni furaha ya kwenda kuanza kumiliki kitanda na mumewe mfululizo na
kwa muda anao upenda (lile tendo)?

3. Au wanaogopa fedheha kwa kuwa wanaolewa /anaolewa akiwa si bikra?

4. Ni uoga wa kuanza kulala bila nguo ya ndani akiwa kwenye ndoa na mumewe?
 
Wengi wao huwa fix tu, haki ya Mungu vile! Wengi utakuta yeye ndo aliyemshobokea mume hata kumtongoza na hatimaye kumshawishi kwa nguvu zote wafunge ndoa. Kulia huwa ni usanii tu!
 
Wengi wao huwa fix tu, haki ya Mungu vile! Wengi utakuta yeye ndo aliyemshobokea mume hata kumtongoza na hatimaye kumshawishi kwa nguvu zote wafunge ndoa. Kulia huwa ni usanii tu!



Kuna kitu nimejifunza hapa....
 
wee hiyo zamani sasa hivi machokodokodo unachezaje kiduku bibi harusi unawachangamsha wageni waalikwa.



Ina maana nimezeeka namna hii,mpaka napitwa na wakati..??Miaka yetu ilikuwa lazima bibi harusi alie japo kidogo,ila wa siku hizi mh..!!
 
full tabasam..kulia kunaharibu make up na mapambo ya bi harusi..mara ya mwisho kuona bi harusi analia ilikua 2005

umeona eeeee!!
make up ziyeyuke
wapate la kusema, oooh bibi harusi
alikua anatoka jasho inahuuuu!!
 
wee hiyo zamani sasa hivi machokodokodo unachezaje kiduku bibi harusi unawachangamsha wageni waalikwa.

zamani ndo walikua wanalia,kuinama mwanzo mwisho......,
Siku hizi unalia kwa lipi?hayo machoz si bora uyahifadhi for future use.........
 
Back
Top Bottom