kwa nini wanawake huficha kama wameolewa?

kwa nini wanawake huficha kama wameolewa?

Sio kweli

Nimejikuta nimegonga mademu kama wa 4, wote baada ya kukaa kwenye uhusiano kwa miezi kadhaa ndio husema ukweli kuwa wameolewa.

mwanzo husema naishi na mama yangu mdogo au na dada yangu. nikimpiga mashine mara kadhaa na kutaka kujua kwao ndio husema ukweli mara nimeolewa ila mme wangu ni mwanajeshi yuko mkoa fulani mara ni polisi analinda benk. sasa kinachonishangaza kwa nini wanaficha mwanzo angali ni hatari sana?

ni kwamba wanakuwa hawawapendi waume zao? au hawafikishwi? au genye zimewazidi?
 
Nimejikuta nimegonga mademu kama wa 4, wote baada ya kukaa kwenye uhusiano kwa miezi kadhaa ndio husema ukweli kuwa wameolewa.

mwanzo husema naishi na mama yangu mdogo au na dada yangu. nikimpiga mashine mara kadhaa na kutaka kujua kwao ndio husema ukweli mara nimeolewa ila mme wangu ni mwanajeshi yuko mkoa fulani mara ni polisi analinda benk. sasa kinachonishangaza kwa nini wanaficha mwanzo angali ni hatari sana?

ni kwamba wanakuwa hawawapendi waume zao? au hawafikishwi? au genye zimewazidi?


Nina wasiwasi hao wote hawajaolewa wamegundua weakness yako wanasepa kimtindo
 
Tuhuma huku,, mom fay,miss chagga,valentina,lara1 njooni mnahitajika huku.
 
jamaa anaonekana mtu wa kudanganywa sana...mi nnavyojua wanawake huona ufahari kusema kwamba wameolewa...ndio maana utakuta hata muislam ambaye hawavai pete utakuta kavaa bonge la pete.
umeona eee!!wanamtaftia sababu
sijui anawaokotea wapi
 
Kwi.kwi.kwi...shoo ya kitoto . shoo ya kukubwa:flame: hapo lazima kabla ya kuanza uakikishe fire extinguisher iko pembeni mwa kitanda maana papuchi inaweza lipuka ukakosa cha kuzimia.
heheheee!!una maneno wewe
mi thijathemaaaa!!
 
Back
Top Bottom