ram
Platinum Member
- Oct 5, 2007
- 9,381
- 8,632
Sio kweli
Nimejikuta nimegonga mademu kama wa 4, wote baada ya kukaa kwenye uhusiano kwa miezi kadhaa ndio husema ukweli kuwa wameolewa.
mwanzo husema naishi na mama yangu mdogo au na dada yangu. nikimpiga mashine mara kadhaa na kutaka kujua kwao ndio husema ukweli mara nimeolewa ila mme wangu ni mwanajeshi yuko mkoa fulani mara ni polisi analinda benk. sasa kinachonishangaza kwa nini wanaficha mwanzo angali ni hatari sana?
ni kwamba wanakuwa hawawapendi waume zao? au hawafikishwi? au genye zimewazidi?