kila kitu?????
Tunawalipa mahari,,,
tunagharamia nyumba,
kula,kuvaa,
na mahitaji yote karibu,
.
kwani kutoa mahari ndio iwe sababu ya nyie kututumikisha hivyo?
Basi tutaanza kutoa sisi mahari.
sio kila kitu bana, lakini acheni mwanaume aitwe mwanaume. kuna majukumu mwanaume akifanya haipendezi labda asaidie siku moja moja tu kwa zarura
i hate women who wants to be men...
sasa kama wewe mwenewe unakubali ni haki zetu,why complain?
kwa nini usiwe mpole na kuzitoa tu taratibu?
i hate women who wants to be men...
i hate men who don't know the value of women.
i hate men who don't know the value of women.
kwani kupika na kupiga pasi ndio hatujui value of women?
mkuu hapa umemaliza nazani. u hev mai ful sapoti hate women who wants to be men...
umewahi kujiuliza kwanini matiti yamewekwa kwa mama na sio kwa baba?kama majukumu yapi?
Usiniambie kupika manake wanaume wamejaa mahotelini kibao wanapika.
Mwanaume ni mwanaume ndio na heshma yake lazima iwepo na suala la kusaidiana kazi halibadilishi jinsia yake.
kwani kupika na kupiga pasi ndio hatujui value of women?
umewahi kujiuliza kwanini matiti yamewekwa kwa mama na sio kwa baba?
Una ujeuri fulani tungekutana kabla sijaolewa,ningekunyoosha........muone kwanza......:coffee:
huyu mwanamke unaemuongelea wewe anapatikana sayari gani?wanawake hufurahia vitu vidogo vidogo sana.
Usifikiri kumthamini ni hadi umfanyie vitu vikubwa ambavyo vingine huna hata uwezo navyo.
wanawake hufurahia vitu vidogo vidogo sana.
Usifikiri kumthamini ni hadi umfanyie vitu vikubwa ambavyo vingine huna hata uwezo navyo.
hehehe sasa si unaona unaanza kuelewa. nikija dodoma nitahakikisha unaelewa tofauti ya mwanaume na mwanamke. usinilet down bananimewahi kujiuliza kwanini korodoni......
umewahi kujiuliza kwanini matiti yamewekwa kwa mama na sio kwa baba?