Wewe huwa unaweka mkono wako wapi ukilala??
Ni tabia tu ya waafrika kufikiria ngono kuliko maendeleo... Mzungu akilala mkono anaweka kichwani.
kwanza kabisa dushelele langu lazima liwe limeeegeshwa juu ya K ya goma huku mkono unashika nyonyo.
Atakuwa anaweka kwenye tigo kuzuia popobawa
Hahahaaaaa.... Weeee ni nooooma..!!
Kila siku unaegesha dushelele juu ya K ya goma..!!
ah maisha ndio haya haya...wengine hatuna udhaifu mwengine ndio huo wa utamu sasa haiwezi pita siku bila angalau kuigusa tuu
Wewe huwa unaweka mkono wako wapi ukilala??
Watu weusi,nafikiri Mungu huwa anatusikitikia sana.
nina maswali machache kwako
hulalagi ucku kama mimi?
kwenye vitanda vya wanaume wenzako ulikuwa unafuata nini ucku mwingi?
ulikuwa unawafunua?
ulishawahi kukamatwa?
una tabia ya kupiga chabo?
yeye uweka nyuma kuziba asiingiziwe.