Kwa nini wanaume wengi kwenye ndoa ni wabaili???

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,003
Nimekuwa nikishirikia katiko wito mwingi wa kusuluhisha shida za watu za ndoa
katika hili ni vizuri nikujuze wewe unaejiandaa kwenye ndoa ndoa ni kutumika
nimeangaliawanaumewengi wakiwa kwenye uchumba wanatumia kweli wakiingia
kwenye ndoa wanabadilika kama smahani kuita hili"kenge"" ama kinyonga

ifike wakati tujiulize umejiandaa vipi kwa ajili ya ndoa ndoa si kuvaaa pete tu
na kunywa na kula na kwenda chooni nyumba inaanza baada ya saa sita na nusu wana
posema sasa wanaharusi wakapumzike hapo ndipo nani kasa nani garasa linaanza
wakati huu wa kujiandaa kwenda kanisanai kushiirki ibada takatifu naomba nikujuze
iwapo una tabia hiyo hilo ni roho spirit ya ubaili unaitaji kujitoa na si hivihivi kwa maombi
binafsi ya kufunga na kukeshaa..hii itakusaidia kuishi kwenye raha katika ndoa..

Umeoa huyo ndio wa kutumia nae aijalishi una kipato gani kaaeni chini wekeni vipato vyenu
kuleni mema ya nchi acheni maisha ya ubahiri ndoa gani unamtoa mkeo mpaka siku ya bday
hiyo ni laana ukiangalia na wazazi wako walikkuwa wanatoana siku za bday sasa jitoe
aina garaama sana ni kujianda tu na kupanga sala zako mungu akusaiidie kuishi kwa raha jamani
mema ya nchi unakula hapa hapa duniani nani kakwambia mema ya nchi yako mbinguni baibo
iko wazi ukifa inafwata hukumu na mbingu ni za bwana bali nchi ni ya dunia ...akili kichwani

wish roho ya kusihi kwa raha na starehe kwenye maisha yenu mungu aondoe kale karoho
ka ubaili jamani yaani natamani nianzishe kaibada cha kuombe na kukemea ubaili kwenye maisha
ya wana jf ..weewe unaacha maharage na ugali kwako unakwenda job unarud i unakaa
rosegarden/bpoint unazungusha round kama mwehu na laki zako unaondoka na alfu 30 ndio
maana nasema hata wale wanaopiga vidole kwenye nguo zetu ruksa kama mkeo wengine wanachoka
ati yaani nyama ule wewe alafu umletee vijiti mkeo na uchafu wa nyama mdomoni shamee
shamee shamee

hope kubadiliaka soon
 
kweli kabisa kuna wanaume duh wagumu kuliko jiwe yani pesa anaitolea chooni,ukitaka pesa ananunaaa...akaaa mie mwanamme hivyo apana bora kukosa kuliko mashaka hayoo......
 
Inategemea na ubahili wenyewe. Kama pesa anayoifanyia ubahili inatumika kwa mambo ya msingi kama vile kujenga, kulipa ada za watoto au labda kuanzisha biashara mpya.......hapo sawa. Lakini ubahili usiokuwa na manufaa kwakweli hapana! Kuna wanaume wengine wabahili nyumbani kwake alafu akitoka nje anaenda kutumbua na marafiki zake, ukimuomba hela anaenda kuhesabia pembeni, kuletewa tunda mpaka siku ukiugua wakati ye kila siku anapigiza makreti ya kufa mbweha........khaaa!!!
 
kweli kabisa kuna wanaume duh wagumu kuliko jiwe yani pesa anaitolea chooni,ukitaka pesa ananunaaa...akaaa mie mwanamme hivyo apana bora kukosa kuliko mashaka hayoo......

mwaya wazo lakao zuri raaha ujipe mwenyewe babu ukisubiri utapewa kinondoni cementry wakikushushia michanga na udongo ukutane na waliona hamu uwaachie wanaweka na jiwe kabisa usiamke
 
<br />
<br />

Umetoa maelezo marefu lakini hujaeleweka. Unaposema ubahili una maana gani hasa hapa? Kingine mimi nilidhani ukisuluhisha ugomvi wa ndoa yaliyoongelewa yanabaki kuwa siri yako na wahusika sikutarajia yaanikwe kwenye mtandao. Kwa ufupi wewe ndugu yangu maadili sifuri kabisa.
 
wanawake tujishughulishe tuache kutegemea waume zetu kwa 100%, wakati mwingine wanaume wanafanya makusudi ku2nyima hela za mengineyo na kwa makusudi wanaacha hela kidogo inayotosha ugali "jela" ili mke uchukie uamue kujishughulisha. HAKUNA MWANAUME WA KIZAZI CHA SASA ANAYEPENDA KUISHI NA MKE GOLIKIPA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…