Boflo JF-Expert Member Joined Jan 20, 2010 Posts 4,383 Reaction score 4,412 Apr 26, 2013 #1 Kwa nini wanaume wana chuchu?? Viungo vyote tulivyo navyo vina kazi maalum, lakini sijajua kwa nini men wawe na chuchu, nini kazi yake??
Kwa nini wanaume wana chuchu?? Viungo vyote tulivyo navyo vina kazi maalum, lakini sijajua kwa nini men wawe na chuchu, nini kazi yake??
KakaJambazi JF-Expert Member Joined Jun 5, 2009 Posts 18,830 Reaction score 12,292 Apr 26, 2013 #2 Kuamsha hisia zikitekenywa ipasavyo.
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 97,154 Reaction score 137,162 Apr 26, 2013 #3 Boflo unamjua Rabiya?
Kongosho JF-Expert Member Joined Mar 21, 2011 Posts 35,987 Reaction score 24,227 Apr 26, 2013 #4 Kwa nini binadamu wana mkia mdogo? Kazi yake sijaijua.
Fixed Point JF-Expert Member Joined Sep 30, 2009 Posts 11,304 Reaction score 12,753 Apr 26, 2013 #5 mimi huwa nazitumia....
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 97,154 Reaction score 137,162 Apr 26, 2013 #6 FP said: mimi huwa nazitumia.... Click to expand... Unazitumiaje?
Fixed Point JF-Expert Member Joined Sep 30, 2009 Posts 11,304 Reaction score 12,753 Apr 26, 2013 #7 Nyani Ngabu said: Unazitumiaje? Click to expand... sijui hayo matumizi yanaitwaje.... najua kuonyesha kwa vitendo tu
Nyani Ngabu said: Unazitumiaje? Click to expand... sijui hayo matumizi yanaitwaje.... najua kuonyesha kwa vitendo tu
Msarendo JF-Expert Member Joined Jan 29, 2011 Posts 10,888 Reaction score 7,079 Apr 26, 2013 #8 umefikilia nini!
JOMAM JF-Expert Member Joined Aug 6, 2012 Posts 330 Reaction score 139 Apr 26, 2013 #9 ni maumbile tu,si dhani kama kuna kazi zingine
Determinantor Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 61,211 Reaction score 99,963 Apr 26, 2013 #10 Ni urembo tu na wakati mwingine huwa kama chambo
BUCHANAGANDE JF-Expert Member Joined Sep 8, 2011 Posts 1,512 Reaction score 482 Apr 26, 2013 #11 Kwa ajili ya kuongeza ashiki tu na kuboresha mazingira ya mwili. Hebu fikiria kama zisingekuwepo pangekuwaje kifuani? MWACHE MUNGU AITWE MUNGU.
Kwa ajili ya kuongeza ashiki tu na kuboresha mazingira ya mwili. Hebu fikiria kama zisingekuwepo pangekuwaje kifuani? MWACHE MUNGU AITWE MUNGU.
Queen Kan JF-Expert Member Joined Dec 26, 2012 Posts 5,302 Reaction score 9,097 Apr 26, 2013 #12 Zamani yalikua yanatumika kunyonyeshea watoto, sasa baada ya mgawanyo wa kazi mwanaume akapewa kazi ya kutafuta chakula na mwanamke anyonyeshe! Source: Theory of use and disuse
Zamani yalikua yanatumika kunyonyeshea watoto, sasa baada ya mgawanyo wa kazi mwanaume akapewa kazi ya kutafuta chakula na mwanamke anyonyeshe! Source: Theory of use and disuse
Boflo JF-Expert Member Joined Jan 20, 2010 Posts 4,383 Reaction score 4,412 Apr 26, 2013 Thread starter #13 Nyani Ngabu said: Boflo unamjua Rabiya? Click to expand... Yupi??
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 97,154 Reaction score 137,162 Apr 26, 2013 #14 Boflo said: Yupi?? Click to expand... Kuna bibi mmoja hivi mitaa ya Upanga alikuwaga kichaa anaitwa Rabiya. Ilikuwa ukimzingua anakutemea mate halafu anafunua gauni yake akupe radhi.
Boflo said: Yupi?? Click to expand... Kuna bibi mmoja hivi mitaa ya Upanga alikuwaga kichaa anaitwa Rabiya. Ilikuwa ukimzingua anakutemea mate halafu anafunua gauni yake akupe radhi.
Boflo JF-Expert Member Joined Jan 20, 2010 Posts 4,383 Reaction score 4,412 Apr 26, 2013 Thread starter #15 Nyani Ngabu said: Kuna bibi mmoja hivi mitaa ya Upanga alikuwaga kichaa anaitwa Rabiya. Ilikuwa ukimzingua anakutemea mate halafu anafunua gauni yake akupe radhi. Click to expand... hahaha nishamsikiaga huyo shaban robert umesomaje pale?? Dingi wako alikuwa fisadi!
Nyani Ngabu said: Kuna bibi mmoja hivi mitaa ya Upanga alikuwaga kichaa anaitwa Rabiya. Ilikuwa ukimzingua anakutemea mate halafu anafunua gauni yake akupe radhi. Click to expand... hahaha nishamsikiaga huyo shaban robert umesomaje pale?? Dingi wako alikuwa fisadi!
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 97,154 Reaction score 137,162 Apr 26, 2013 #16 Boflo said: hahaha nishamsikiaga huyo shaban robert umesomaje pale?? Dingi wako alikuwa fisadi! Click to expand... Basi Rabiya keshanikosa kosa na mate yake yale. Alikuwa anatema kama kobra.
Boflo said: hahaha nishamsikiaga huyo shaban robert umesomaje pale?? Dingi wako alikuwa fisadi! Click to expand... Basi Rabiya keshanikosa kosa na mate yake yale. Alikuwa anatema kama kobra.
Chocs JF-Expert Member Joined Aug 21, 2012 Posts 8,437 Reaction score 4,828 Apr 26, 2013 #17 Chu chu chuu Zina kazi ndo mana zipo...wew huna/unazo? Boflo said: Kwa nini wanaume wana chuchu?? Viungo vyote tulivyo navyo vina kazi maalum, lakini sijajua kwa nini men wawe na chuchu, nini kazi yake?? Click to expand...
Chu chu chuu Zina kazi ndo mana zipo...wew huna/unazo? Boflo said: Kwa nini wanaume wana chuchu?? Viungo vyote tulivyo navyo vina kazi maalum, lakini sijajua kwa nini men wawe na chuchu, nini kazi yake?? Click to expand...
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Joined Aug 17, 2011 Posts 38,907 Reaction score 28,077 Apr 26, 2013 #18 KakaJambazi said: Kuamsha hisia zikitekenywa ipasavyo. Click to expand... Ha ha ha ha ha!!!!
Boflo JF-Expert Member Joined Jan 20, 2010 Posts 4,383 Reaction score 4,412 Apr 26, 2013 Thread starter #19 Nyani Ngabu said: Basi Rabiya keshanikosa kosa na mate yake yale. Alikuwa anatema kama kobra. Click to expand... Hahahaa naona ulifanya janja ya nyani, ili umwagiwe radhi
Nyani Ngabu said: Basi Rabiya keshanikosa kosa na mate yake yale. Alikuwa anatema kama kobra. Click to expand... Hahahaa naona ulifanya janja ya nyani, ili umwagiwe radhi
Asnam JF-Expert Member Joined Jan 18, 2012 Posts 4,256 Reaction score 2,949 Apr 26, 2013 #20 zinatumika kusafisha nyota.