Kwa nini wanakimbia radio one/itv

Labour turnover ni muhimu sehemu yoyote, kama hamna hiyo labour turnover basi si sehemu ya kufaa kufanya kazi maana inawezekana watu wanaajiri kwa undugu bila qualifications hivyo inakuwa vigumu kupata ajira sehemu nyingine na wale walio nje wanaona hapafai kwenda kufanyakazi.
 
Kwani wewe ulitaka wabaka hapo maisha yao yote, kwani redio/tv ni familia hiyo??????

Ni muhimu kubadilisha kazi, hasa kwa vijana ambao damu bado zinachemka kama Milad Ayo. Maana unaweza kufikiri maisha ni radio One/ITV tu, kumbe maisha mazuri zaidi yako sehemu nyingine.....HIYO NI KITU KINAITWA CHALLENGE....
Acha wajaribu bahati yao, huenda wakafanikiwa, maana bado ni vijana tu na sector ya utangazaji inakua sana bongo....radio na TV kila siku zinaanzishwa....
MIMI NAWAPA BIG - UP SANA TUUU!!!!!!!!
 
Nadhani IPP Media ni kama ilivyokuwa bendi ya Twanga pepeta. Inaibua wasanii na kuwapa majina then wanasepa.
 
itv / radio one ni kampuni yenye watangazaji maarufu kuliko nyingine yoyote tanzania, hivyo ndani ya mwaka mmoja wakiondoka wawili itv, na wakiondoka watano star tv, walioondoka itv ndio watakaozusha maswali mengi japo ni wawili, zaidi ya wale watano wa star tv.
Tafakari
 
Back
Top Bottom