Baada ya kupewa dau kubwa ili acheze scene ya mjane, msanii huyu alikubali kunyoa kipara. Cha ajabu baada kunyolewa uso na kichwa haviendani, hii yote ni sababu ya mkorogo. Wadada kuweni makini sana mnapojichubua chubueni kote kote, chini ya kwapa, vidoleni, kichwani nk.
Na sielewi kwa nini mtu ujichubue? infact wanawake weusii wana mvuto wake kama mlikuwa hamlijui hilo.
Kabla ya kunyolewa
Shughuli ya kunyoa ikaanza
Baada ya kunyolewa, duu uso na kichwa tofauti.
Thanx Kanumba.
Na sielewi kwa nini mtu ujichubue? infact wanawake weusii wana mvuto wake kama mlikuwa hamlijui hilo.
Kabla ya kunyolewa
Shughuli ya kunyoa ikaanza
Baada ya kunyolewa, duu uso na kichwa tofauti.
Thanx Kanumba.