Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 7,270
- 12,649
Zile chafu.Za kununua si zipo?
Sio kila mtu anapenda kula makombo
Zile chafu.Za kununua si zipo?
Acha uwoga wewe...A,b,c,d.....
Kwa mtazamo huo, mahusiano si ya lazima?Binafsi niliolewa nikiwa na umri mdogo 24 years baada ya kushika ujauzito. Kipindi hicho niliona ni sawa tu maana ndo utaratibu. Now najuta sana kufanya yale maamuzi na pia nawalaumu wazazi wangu kwanini hawakunikataza au kunishauri wakakubali tu niolewe bila hata pingamizi. Now najuta kwa kweli, ningetuliza akili kwanza
Je, na uliye naye ana lengo kama lako?Zile chafu.
Sio kila mtu anapenda kula makombo
Mahusiano ya kugandana na kufata taratibu si lazima. Tafuta muhalifu mwenzako mmoja mkutane siku za upwiru baada ya hapo kila mmoja asepe kivyakeKwa mtazamo huo, mahusiano si ya lazima?
na wanaotaka kuwa kwenye mahusiano pia wamejumuishwaTusio kwenye mahusiano tunasoma comments
ili kujuwaKwa nini uige watu, ili iwe nini?
Wanawake wana malengo tofauti na wanaume.Je, na uliye naye ana lengo kama lako?
Nn kilitokea hadi ukachukia?Binafsi niliolewa nikiwa na umri mdogo 24 years baada ya kushika ujauzito. Kipindi hicho niliona ni sawa tu maana ndo utaratibu. Now najuta sana kufanya yale maamuzi na pia nawalaumu wazazi wangu kwanini hawakunikataza au kunishauri wakakubali tu niolewe bila hata pingamizi. Now najuta kwa kweli, ningetuliza akili kwanza
hadi lini?Mahusiano ya kugandana na kufata taratibu si lazima. Tafuta muhalifu mwenzako mmoja mkutane siku za upwiru baada ya hapo kila mmoja asepe kivyake
Kwenye TitleNa sisi ambao hatujui sababu ya kuingia tuna comment wapi?