Kwa nini uko kwenye mahusiano?

Kwa nini uko kwenye mahusiano?

Binafsi niliolewa nikiwa na umri mdogo 24 years baada ya kushika ujauzito. Kipindi hicho niliona ni sawa tu maana ndo utaratibu. Now najuta sana kufanya yale maamuzi na pia nawalaumu wazazi wangu kwanini hawakunikataza au kunishauri wakakubali tu niolewe bila hata pingamizi. Now najuta kwa kweli, ningetuliza akili kwanza
Kwa mtazamo huo, mahusiano si ya lazima?
 
Binafsi niliolewa nikiwa na umri mdogo 24 years baada ya kushika ujauzito. Kipindi hicho niliona ni sawa tu maana ndo utaratibu. Now najuta sana kufanya yale maamuzi na pia nawalaumu wazazi wangu kwanini hawakunikataza au kunishauri wakakubali tu niolewe bila hata pingamizi. Now najuta kwa kweli, ningetuliza akili kwanza
Nn kilitokea hadi ukachukia?
 
Back
Top Bottom