Waterlemon
Senior Member
- Sep 2, 2016
- 143
- 199
Wana jumuia,
Kwa nini kila kukicha imani za watu walio wengi waliokuwa kwenye mahusiano inazidi kupotea?
Laghai zinakuwa nyingi, kuchepuka nako hakwishi na hata uzalendo wa kufanya yale tunayowajibika tuliyoyaapia kuyafanya nao unayeyuka.
Mapenzi yanaanza kwa nguvu. halafu kama vile yalitengenezwa kwenye laboratory, shelf life taratibu inaanza kukatika exponentially.
Kuna baadhi ya wanyama ambao wanaishi kwa mfumo ambao wanachaguana na kuwa partners for life, unaitwa monogamy. Species hizi za wanyama huwa paired for life na hawatengani mpaka kifo, naukiangalia wanyama hao, unakuta hii system yao ya pearing haiwaadhiri population yao kulinganisha na wengine wasiofuata system hii.
Mfano wa wanyama hao ni kama mbwa mwitu wa mabara ya kibaridi (worves, koyote), aina kadhaa wa eagles (ndege tai) ndege swans, njiwa na wengine wengi tu
Kwa nini tusiigize mfumo huu wa monogamy since we humans are already the pinnacle of all intelligent species duniani?
Mukuje hapa wenye mtazamo kwenye mahusiano mchangie tuelimishane....
Kwa nini kila kukicha imani za watu walio wengi waliokuwa kwenye mahusiano inazidi kupotea?
Laghai zinakuwa nyingi, kuchepuka nako hakwishi na hata uzalendo wa kufanya yale tunayowajibika tuliyoyaapia kuyafanya nao unayeyuka.
Mapenzi yanaanza kwa nguvu. halafu kama vile yalitengenezwa kwenye laboratory, shelf life taratibu inaanza kukatika exponentially.
Kuna baadhi ya wanyama ambao wanaishi kwa mfumo ambao wanachaguana na kuwa partners for life, unaitwa monogamy. Species hizi za wanyama huwa paired for life na hawatengani mpaka kifo, naukiangalia wanyama hao, unakuta hii system yao ya pearing haiwaadhiri population yao kulinganisha na wengine wasiofuata system hii.
Mfano wa wanyama hao ni kama mbwa mwitu wa mabara ya kibaridi (worves, koyote), aina kadhaa wa eagles (ndege tai) ndege swans, njiwa na wengine wengi tu
Kwa nini tusiigize mfumo huu wa monogamy since we humans are already the pinnacle of all intelligent species duniani?
Mukuje hapa wenye mtazamo kwenye mahusiano mchangie tuelimishane....