rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Kama Mtume alitumwa na Mungu na wote tunajua Mungu ana nguvu kwa sababu dunia na vyote viijazavyo ni mali yake kwa nini tuwapiganie Mitume waliotumwa na huyo Mungu?
mimi nikiwa kama mkristo na akatokea mtu kumkashifu Yesu ambaye mimi namwamini kama alitumwa na Mungu,je kwa nini mimi nigombane na yule mtu anayemkashifu??kwa sababu kwanza sijawahi kumwona Yesu kwa macho
kama Mtume mwenye nguvu anapiganiwa na wafuasi wake ilihali hata hawajawahi kumwona na kuamini 100% kuwa mtume huyu ni kweli aliishi hapa duniani hilo ni tatizo
ndugu zangu tubadilike tuache kuiga maisha ya Waarabu wale wana laana inayowasumbua,sisi tupambane na umaskini wetu tuacheni na uduni wa kuiga maisha ya watu wasio na uhusiano na sisi
mimi nikiwa kama mkristo na akatokea mtu kumkashifu Yesu ambaye mimi namwamini kama alitumwa na Mungu,je kwa nini mimi nigombane na yule mtu anayemkashifu??kwa sababu kwanza sijawahi kumwona Yesu kwa macho
kama Mtume mwenye nguvu anapiganiwa na wafuasi wake ilihali hata hawajawahi kumwona na kuamini 100% kuwa mtume huyu ni kweli aliishi hapa duniani hilo ni tatizo
ndugu zangu tubadilike tuache kuiga maisha ya Waarabu wale wana laana inayowasumbua,sisi tupambane na umaskini wetu tuacheni na uduni wa kuiga maisha ya watu wasio na uhusiano na sisi