Kwa nini tume inachelewa kutangaza matokeo Igunga? Vurugu zimeanza

Yatatokaje bila kuwasiliana na Mkama kwanza? kura laki 3 unahesabu masaa 12 - kali ya mwaka.
 
wakulaumiwa siyo chadema ni tume ya uchaguzi.ndio wenye jukumu la ktangaza matokeo.mia
 
Wadau sheria ya uchanguzi inamtaka msimamizi kupokea form Iliyosainiwa na mawakala wote wa vyama na kujiridhisha ikiwa ni pamoja na kujumlisha na kuhakiki kura zote na kuzitangaza kwa ufupi hizo source nyingine zote zilizotoa matokeo siyo rasmi tungoje msimamizi wa uchaguzi atangaze matokeo rasmi tuache kupotosha watu tafadhali.
 
Nakuunga mkono mkuu, nionavyo mimi viongozi wa CHADEMA wametumia busara sana kutotoa matokeo yoyote hata kama wanajua,hadi tume itangaze,kwa sababu CCM wanalishasema kupitia Wassira kuwa CDM wameandaa vijana kusherehekea ushindi watakao utangaza,mpaka sasa ni Nape ndiye aliyejivika majukumu ya tume kwa kutangaza matokeo ya jumla.Viongozi wa chadema waendelee kuvuta subira mpaka tume itangaze yenyewe ili kama kuna uchakachuaji ndipo watakapotamka na ikibidi kuchukua hatua za kisheri,la kuwatuliza wanachama ni muhimu lakini kumbuka mwanachama ambae tayari keshajua ameshinda ukimtuliza wewe kiongozi utaonekana kama nawe umechakachuliwa.Kumbuka kilichotokea nyamagana 2010

Nachoamini ni kwamba viongozi wa chadema watakuwa wameshafahamu matokeo ya igunga.

Lakini usisahau kwamba kwa mujibu wa sheria mwenye mamlaka ya kutangaza matokeo ni tume ya uchaguzi. Sasa unaposhauri viongozi wa chadema wawatulize wafuasi wao ili wapokee matokeo, matokeo gani hayo unayotaka waandaliwe kuyapokea?

Hujiulizi kwa nini matokeo hayo yamecheleweshwa kutangazwa kiasi hicho? Hapa wanaostahili lawama kama ndio njia pekee unayoina ni tume ya uchaguzi, chadema hawana pahali popote wanapaswa kuulizwa ama kuwajibika kwa ucheleweshaji wa kutangaza matokeo.
 
man-yawning.jpg
 
Nachoamini ni kwamba viongozi wa chadema watakuwa wameshafahamu matokeo ya igunga.

Lakini usisahau kwamba kwa mujibu wa sheria mwenye mamlaka ya kutangaza matokeo ni tume ya uchaguzi. Sasa unaposhauri viongozi wa chadema wawatulize wafuasi wao ili wapokee matokeo, matokeo gani hayo unayotaka waandaliwe kuyapokea?

Hujiulizi kwa nini matokeo hayo yamecheleweshwa kutangazwa kiasi hicho? Hapa wanaostahili lawama kama ndio njia pekee unayoina ni tume ya uchaguzi, chadema hawana pahali popote wanapaswa kuulizwa ama kuwajibika kwa ucheleweshaji wa kutangaza matokeo.

Kumbuka uchaguzi mkuu uliopita hata katika majimbo tulikuwa tunapata updates za majumuisho kutoka vyanzo vya chama, na mara nyingi vyanzo hivi ndio vilitufanya tukalinde kura zetu pale ilipohitajika. Kama kweli majumuisho hayaonyeshi tumeshinda na utakuwepo uchakachuaji wowote ni vyema tukakubali matokeo kwa hilo pia litazidisha mvuto wa CDM miongoni mwa wnaanchi. Lakini zikitokea fujo hususan unjustified ones ni kuwa tutakuwa tunazidi kupoteza na magamba watatumia fursa hiyo kufanya propaganda dhidi yetu.
 
nakuunga mkono mkuu, nionavyo mimi viongozi wa chadema wametumia busara sana kutotoa matokeo yoyote hata kama wanajua,hadi tume itangaze,kwa sababu ccm wanalishasema kupitia wassira kuwa cdm wameandaa vijana kusherehekea ushindi watakao utangaza,mpaka sasa ni nape ndiye aliyejivika majukumu ya tume kwa kutangaza matokeo ya jumla.viongozi wa chadema waendelee kuvuta subira mpaka tume itangaze yenyewe ili kama kuna uchakachuaji ndipo watakapotamka na ikibidi kuchukua hatua za kisheri,la kuwatuliza wanachama ni muhimu lakini kumbuka mwanachama ambae tayari keshajua ameshinda ukimtuliza wewe kiongozi utaonekana kama nawe umechakachuliwa.kumbuka kilichotokea nyamagana 2010

ndio maana nimesema kuwa tofauti na kawaida yetu majumuisho kwa mujibu wa vyanzo vya chama sijayaona wala kuyasikia ukiachilia mbali yale ya zitto yanyoonyesha kuwa tumepoteza kwa asilimia chache sana. Sasa hao wananchma watakaojua wameshinda ni kwa vyanzo vipi?
 
TUSIPOACHA UTANI NA WOGA WA KUOGOPA KIFO,
TUSIPOACHA UNAFIKI NA KUTOKUJITAMBUA KWETU KWAMBA MWENYEZI MUNGU AMETUUMBA HURU NA HIVYO KUTOKUKUBALI DHULMA "WATANGANYIKA" TUTAENDELEA KUDHALILIKA NA KUONEWA MILELE.
Mosi,Ni LAZIMA turudi kwa Mwenyezi Mungu Pili kila mmoja atambue kwamba yeye ni msingi wa harakati za kumkomboa Mtanganyika na mwisho atambue kua ktk harakati zozote zipo pia gharama zake na Mwenyezi Mungu atatusaidia.Vinginevyo tuiache ccm itufanye inavyotaka Mungu Apishie mbali
 
Kuna tetesi kwamba iwapo mgombea wa CCM atapita ktk kinyang'anyiro cha ubunge wa Igunga, basi kuna dalili kubwa kwamba ktk mabadiliko ya Cabinet Kikwete atamteua mgombea huyo kuwa Waziri wa Nishati na Madini kwa kigezo kwamba jamaa ana uzoefu wa kutosha walau kuweza kuingoza wizara hii iweze walau kutoa tongotongo na wingu zito la matatizo ya wizara husika ikiwapo umeme na mikatabafeki iliyorundikana wizarani na inayoendelea kuatamiwa na serikali.

Binafsi najiuliza, hivi huyo Kafumu so ndo alokuwa kamishna, na yote hayo yamefanyika ktk kipindi cha ukamishna wake? Je sio kwamba kama akifanya hivi itakuwa sawa na kuweka mvinyo wa zamani kwenye chupa mpya, ili hali kinywaji ni kile kile? Iwapo hili litatokea basi ****** kwa mara nyingine atakuwa ameuthibitishia umma wa Watanzania kuwa yeye ni kiazi kweli kweli si mchezo.

Tunasubiri tuone!!!!


sasa ndyoko unashangaa nini hapo, kwani hujui kuwa huu ndo utaratibu wa uendeshaji wa nchi wa hawa jamaa wa magamba?
 
Habari za hapa igunga ni kwamba cdm wameanza kufanya fujo kwa kukataa matokeo pimbi kweli hawa
 
Back
Top Bottom