Ni muda mrefu sasa tangu matangazo ya Televisheni ya Taifa (TBC) yaache kuonekana Mkoani Kilimanjaro.
Mwanzoni tulidhani ni tatizo la kiufundi ambalo lingerekebishwa, lakini hakuna dalili za hali kubadilika.
Tatizo hili linawakumba waliokuwa wanaona TBC kupitia madishi na pia wanaotumia vifumbuzi vya Star Times.
TBC kama chombo cha habari cha taifa inaendeshwa kwa kodi zetu, hivyo wananchi wote wanapaswa kupata matangazo yake bila ubaguzi.
Naomba kama kuna anayefahamau undani wa hili, atufahamishe.
Mwanzoni tulidhani ni tatizo la kiufundi ambalo lingerekebishwa, lakini hakuna dalili za hali kubadilika.
Tatizo hili linawakumba waliokuwa wanaona TBC kupitia madishi na pia wanaotumia vifumbuzi vya Star Times.
TBC kama chombo cha habari cha taifa inaendeshwa kwa kodi zetu, hivyo wananchi wote wanapaswa kupata matangazo yake bila ubaguzi.
Naomba kama kuna anayefahamau undani wa hili, atufahamishe.