Ningependa kumuona mpiganaji samuel 6 akijiuzuru uwaziri afu akakitema chama cha mafisadi(ccm) na kujiunga chadema ili aongeze nguvu maana mwaka 2015 tunajiandaa kuchukua nchi tukiwa na watu makini na wenye uchungu na nchi kama kina sitta na wengineo kama mp george simbachawene( mbunge wa kibakwe)?
Naomba maoni
Naomba maoni