EIGHTIESTHROWBACK
JF-Expert Member
- Aug 4, 2016
- 328
- 275
Najiuliza hivi hizi foleni ya kuhakiki majina na TRA na mambo ta TIN ni wazimu mtupu
Inanikumbusha uzi uliletwa hapa JF wiki iliyopita ikilalamikia urasimu wa kupoteza muda unaofanywa na BRELA
Kama mtu ana leseni na kitambulisho halali cha serikali ambavyo vote vina taarifa zake kwa nini iwe vigumu watu kutumia mtandao wa serikali kujaza hizi form za TRA na kufanya malice kwa njia ya simu au mitandao?
Hivi sasa kuna watu wanapoteza zaidi ya nusu siku kwenda TRA kuwasilisha viambatanisho kwa ajili ya TIN. Kama mtu alishawasilisha kila kitu chake wakati anaomba kitambulisho cha taifa na vitu viko saved kwenye data base ya serikali kwanini we vigumu kwa mtu huyo huyo kumaliza haya mambo ya kusajili kampuni na kuwasilisha mambo ya TRA online na kulipa fine za trafiki na huduma zinginezo?
Mheshimiwa huwezi kuendesha serikali kwenye zama za karne ya 21 kwa kutegemea mbinu za karne ya 7.
ukitaka ufanisi kama Rafiki yako Kagame au Serikali ya Singapore yako lazima uwe serious na kuruhusu teknolojia irahisishe kazi na ufanisi serikalini na sekta binafsi. Sielewi kwa nini jambo la dada kudu likafanywa kwa kutumia masaa 24. Haingii akilini zama hizi
Inanikumbusha uzi uliletwa hapa JF wiki iliyopita ikilalamikia urasimu wa kupoteza muda unaofanywa na BRELA
Kama mtu ana leseni na kitambulisho halali cha serikali ambavyo vote vina taarifa zake kwa nini iwe vigumu watu kutumia mtandao wa serikali kujaza hizi form za TRA na kufanya malice kwa njia ya simu au mitandao?
Hivi sasa kuna watu wanapoteza zaidi ya nusu siku kwenda TRA kuwasilisha viambatanisho kwa ajili ya TIN. Kama mtu alishawasilisha kila kitu chake wakati anaomba kitambulisho cha taifa na vitu viko saved kwenye data base ya serikali kwanini we vigumu kwa mtu huyo huyo kumaliza haya mambo ya kusajili kampuni na kuwasilisha mambo ya TRA online na kulipa fine za trafiki na huduma zinginezo?
Mheshimiwa huwezi kuendesha serikali kwenye zama za karne ya 21 kwa kutegemea mbinu za karne ya 7.
ukitaka ufanisi kama Rafiki yako Kagame au Serikali ya Singapore yako lazima uwe serious na kuruhusu teknolojia irahisishe kazi na ufanisi serikalini na sekta binafsi. Sielewi kwa nini jambo la dada kudu likafanywa kwa kutumia masaa 24. Haingii akilini zama hizi