KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Ni jambo la ajabu na Hatari kwa Jamii ya Watanzania pale ambapo Serikali haijawahi kuwakamata Mashoga pamoja na kujitangaza kuwa ni Mashoga lakini kuna Nguvu kubwa ya Jeshi la polisi inaelekezwa kuwakamata Makahaba !!!!
Juzi hapa tulishuhudia gazeti la Nipashe likiandika habari kuwa polisi wenye silaha walimpiga kwa risasi sehemu za makalio binti ambaye alikuwa kwenye tendo la uzinzi na mwanaume maeneo ya Zakiem Mbagala DSM!!!
Pia Gazeti la Habari Leo limeripoti hadhari juu ya Mashoga ambao walijieleza wazi kuwa wanafanya vitendo hivyo na Mawaziri na wabunge na kutokana na uhasama wao wakawa wanaomba ulinzi wa polisi!!!
Sasa ni kwa nini serikali ya CCM haijakemea Ushoga wakati ni kosa la Jinae kama Madawa ya Kulevya???
Kwa nini mkuu wa nchi anatumia nguvu nyingi kukemea biashara ya Madawa ya kulevya lakini anaacha kukemea Ushoga ambao ni hatari kuliko biashara ya madawa ya kulevya???
kwa nini polisi wapo tayari kutuimia silaha na msako mkali wa makahaba lakini wana waacha Mashoga???
Je serikali inaruhusu Ushoga kivitendo na inapinga kinafiki????
Juzi hapa tulishuhudia gazeti la Nipashe likiandika habari kuwa polisi wenye silaha walimpiga kwa risasi sehemu za makalio binti ambaye alikuwa kwenye tendo la uzinzi na mwanaume maeneo ya Zakiem Mbagala DSM!!!
Pia Gazeti la Habari Leo limeripoti hadhari juu ya Mashoga ambao walijieleza wazi kuwa wanafanya vitendo hivyo na Mawaziri na wabunge na kutokana na uhasama wao wakawa wanaomba ulinzi wa polisi!!!
Sasa ni kwa nini serikali ya CCM haijakemea Ushoga wakati ni kosa la Jinae kama Madawa ya Kulevya???
Kwa nini mkuu wa nchi anatumia nguvu nyingi kukemea biashara ya Madawa ya kulevya lakini anaacha kukemea Ushoga ambao ni hatari kuliko biashara ya madawa ya kulevya???
kwa nini polisi wapo tayari kutuimia silaha na msako mkali wa makahaba lakini wana waacha Mashoga???
Je serikali inaruhusu Ushoga kivitendo na inapinga kinafiki????