Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Mtu anapokosea kwenye uhusiano ni rahisi mtu kulalamika na kutumia kama kigezo cha kuachana haijalishi mmeombana msamaha inakuwaje mazuri mengi ndani ya uhusiano yanafutwa na makosa machache!
hii cjui ni ile notion end inajustfy the means au ni nini! Lkn ni kweli huwa tunaangalia mabaya zaidi!
hahaha! True that my rosie,karibu baridi tudiskasi hii sredhah hah!!sometimes means justfy the end...
nakubaliana na ww huwa tunawakamilisha watu ktk uhusiano!sasa baya moja linafuta yote yanini kufanya mazuri mengi huku ukijua kosa moja litaharibu kila kitu.. Kweli ubatili upo mwingi tu.Hata sio machache kosa moja tuLa weza kuvunja kila kitu...Nadhani inatokana na uaminifu Ulioweka juu ya mtu..Na ile yakufikiri he/she is "perfect "Unamuweka mtu juu kupita kiasi..Na siku akikosea mmmhhh..
ina maana kwenye uhusiano makosa ndo muhimu kudetermine kama uhusiano ni mzuri ,au ni kutegemea mengi mema kwa umpendaye hatuchukulii baya tunalofanyiwa kama kipimo cha kujaza pungufu la mwenzako.hii cjui ni ile notion ya the end inajustfy the means au ni nini! Lkn ni kweli huwa tunaangalia mabaya zaidi hata kama mazuri yana outweigh......
true that,mabaya ndo yanamfanya mtu atambulike aina ya utu alionaowataalamu wanasema binadamu tuna uwezo mkubwa zaidiwa kupokea maumivu kuliko raha....hiyo ndio sababu.....ndo maana huwa hatuwasahau waliotuumiza,lakini tunawasahau sana waliotupa raha zamani
hatuwezi kutegemea mema tu maana binadamu c malaika!kikubwa tunapaswa kuvumiliana, kukosoana,na hata kama uhusiano umefika mwisho ni vzr kutambua mema ya mwenzio pia kuliko kusemana kwa mabaya tuuuu!ina maana kwenye uhusiano makosa ndo muhimu kudetermine kama uhusiano ni mzuri ,au ni kutegemea mengi mema kwa umpendaye hatuchukulii baya tunalofanyiwa kama kipimo cha kujaza pungufu la mwenzako.
kwa kweli utaona mtu umamfamyia mema kibao miaka nenda rudi, kosea kitu kimoja tu, hakuna rangi utaacha onawataalamu wanasema binadamu tuna uwezo mkubwa zaidi
wa kupokea maumivu kuliko raha....hiyo ndio sababu.....
ndo maana huwa hatuwasahau waliotuumiza,lakini tunawasahau sana waliotupa raha zamani
Akikukosea tena unakumbushia! Hahahahahahaaaa! Mapenzi Bongo full usanii teh!Mpnz wako akikufanyia kosa linauma sana zile raha zote unasahau kabisa.
Mtu anapokosea kwenye uhusiano ni rahisi mtu kulalamika na kutumia kama kigezo cha kuachana haijalishi mmeombana msamaha inakuwaje mazuri mengi ndani ya uhusiano yanafutwa na makosa machache!